Vita ya Ukraine, Hamas na Gaza, vimewaondoa Democrats madarakani

Vita ya Ukraine, Hamas na Gaza, vimewaondoa Democrats madarakani

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1730879410923.png

Siyo siri kwa sasa. Inaelekea Vita ya Ukraine haiungwi mkono na wamarekani. Na Trump aliahidi kuimaliza vita hii ndani ya siku moja kwa kukata misaada yote ya kivita kwa Ukraine.

Trump mara kwa mara amesikikia akisema huyu bwana mdogo Zelensky kila akija Waashington anabeba kitita chetu cha maTrilioni-na kuahidi kukomesha hilo.

- Breaking News: - Donald Trump ashinda Urais wa Marekani

Kwa mashariki ya kati, wananchi wengi wa marekani inaelekea hawapendezwi na mauaji yanayoendelea huko Israeli na majirani zake.

Kuwaondoa Democrats madarakani ni kama vote of no confidence.

Hata hivyo sisi makabwela wa dunia, hakuna cha matumaini kwa Trump, maana katika awamu yake ya kwanza alisha sema, sisi shithole countries hatunaa maana kabisa.
 
View attachment 3145031
Siyo siri kwa sasa.
Inaelekea Vita ya Ukraine haiungwi mkono na wamarekani.
Na Trump aliahidi kuimaliza vita hii ndani ya siku moja kwa kukata misaada yote ya kivita kwa Ukraine.

Trump mara kwa mara amesikikia akisema huyu bwana mdogo Zelensky kila akija Waashington anabeba kitita chetu cha maTrilioni-na kuahidi kukomesha hilo.

Kwa mashariki ya kati, wananchi wengi wa marekani inaelekea hawapendezwi na mauaji yanayoendelea huko Israeli na majirani zake.

Kuwaondoa Democrats madarakani ni kama vote of no confidence

Hata hivyo sisi makabwela wa dunia, hakuna cha matumaini kwa Trump, maana katika awamu yake ya kwanza alisha sema, sisi shithole countries hatumna maana kabisa.
Tuachane na hizo vita maanake ni kama hazituhusu kiviiile; tujadiri hili la shitholes countries, ni je ni kweli au katutukana?
 
View attachment 3145031
Siyo siri kwa sasa.
Inaelekea Vita ya Ukraine haiungwi mkono na wamarekani.
Na Trump aliahidi kuimaliza vita hii ndani ya siku moja kwa kukata misaada yote ya kivita kwa Ukraine.

Trump mara kwa mara amesikikia akisema huyu bwana mdogo Zelensky kila akija Waashington anabeba kitita chetu cha maTrilioni-na kuahidi kukomesha hilo.

Kwa mashariki ya kati, wananchi wengi wa marekani inaelekea hawapendezwi na mauaji yanayoendelea huko Israeli na majirani zake.

Kuwaondoa Democrats madarakani ni kama vote of no confidence

Hata hivyo sisi makabwela wa dunia, hakuna cha matumaini kwa Trump, maana katika awamu yake ya kwanza alisha sema, sisi shithole countries hatumna maana kabisa.
Zingatia...( shithole)🤣
 
Pia upigaji ulizidi kiwango na sera za kuidhoofisha kiuchumi China ambao magari yao ya umeme yakawekewa ushuru mkubwa kuwakomoa.

Tusisahau tishio la BRICS na ngojea kuona raisi mtarajiwa Trump atalikabili vili suala la BRICS maana Uturuki nao keshajiunga.
 
View attachment 3145031
Siyo siri kwa sasa.
Inaelekea Vita ya Ukraine haiungwi mkono na wamarekani.
Na Trump aliahidi kuimaliza vita hii ndani ya siku moja kwa kukata misaada yote ya kivita kwa Ukraine.

Trump mara kwa mara amesikikia akisema huyu bwana mdogo Zelensky kila akija Waashington anabeba kitita chetu cha maTrilioni-na kuahidi kukomesha hilo.

Kwa mashariki ya kati, wananchi wengi wa marekani inaelekea hawapendezwi na mauaji yanayoendelea huko Israeli na majirani zake.

Kuwaondoa Democrats madarakani ni kama vote of no confidence

Hata hivyo sisi makabwela wa dunia, hakuna cha matumaini kwa Trump, maana katika awamu yake ya kwanza alisha sema, sisi shithole countries hatumaa maana kabisa.
Kwa Ukraine ni sawa ila kwa mashariki ya kati ni msiba. Trump ni pro Israel to the extent. Umesahau yeye ndie aliyeanzisha Ibrahim accod na ndie aliyeunga mkono wayahud kuufanya Jerusalem ndio mji mkuu. Na huyu mzee mume wa mwanae ni wale jews extremist
 
Kwa Ukraine ni sawa ila kwa mashariki ya kati ni msiba. Trump ni pro Israel to the extent. Umesahau yeye ndie aliyeanzisha Ibrahim accod na ndie aliyeunga mkono wayahud kuufanya Jerusalem ndio mji mkuu. Na huyu mzee mume wa mwanae ni wale jews extremist

Hawajui hawa kuwa bora kina kamala walikua wanauma na kupuliza huyu ni habari mbaya kwa iran na pro iran wote..
 
Hawajui hawa kuwa bora kina kamala walikua wanauma na kupuliza huyu ni habari mbaya kwa iran na pro iran wote..
Huyu anaenda kushughulika na mzizi, ataukata. IRAN, Iran, Iran umeandaliwa mitego mitatu

1. Kujaribu kumuua rais mteule wakati wa kampeni. Utajibu.
2. Kuifurumishia maroketi ya kivita Israel
3. Kufadhili na kujificha nyuma ya vikundi vya wapiganaji kuishambulia Israel. Mpaka mwaka 2025 uishe utawala wa Ayatoallah hautakuwepo Iran.
 
Nimefurahi mno leo, dunia irudi kwenye amani sasa imetosha.
Hakuna Amani duniani. Haitakuja kutokea hiyo. Vita zitaendelea kuwepo. Wewe unafikiri Vita imeletwa na democrat? Hapana. Tena tegemea Vita kubwa zaidi siku za usoni
 
Nimefurahi mno leo, dunia irudi kwenye amani sasa imetosha.
Kwa Ukraine atamaliza ila Kwa Palestina sidhani itakuwa Kwa tabu sana,miaka miwili ya mwisho alitembelea Israel na kusema america itahamisha ubalozi Toka TEL Aviv mpaka Jerusalem ya yy ndio anatambua ni mji mkuu na palestina juu ya Jerusalem hawaelewi kitu tabu ipo labda iwe aseme iwe nchi Moja wakakubaliana
 
Muhuni kaingia ikulu,Hawa ni wale wanaoamini uzungu WA color zaid.
Watu weusi sisi kazi tunayo
 
Back
Top Bottom