Vita ya Vinywaji...

SI tumezoea Sana k VANT plus mo energy japo nasikia Ni sumu tunatengeneza..mtaan Kuna wakemia wakuu kazi Yao ku mix hizi mambo juzi wakaleta k VANT na hio sijui Inaitwa blue magic sijui blue moment asee ilikuwanga sho sho
Hahahahahaha kuna watu wanamix konyagi na dompo alafu wanadondoshea gongo kidogo
 
Mkuuuu K vant kwa sasa inatisha mbayaaa..... watu wengi wamehama Konyagi..... Serengeti lite inakimbiza mbayaaa CASTLE lite.... ... naona umeongelea ki ushabik na wala sio kiualisia
 
Mkuuuu K vant kwa sasa inatisha mbayaaa..... watu wengi wamehama Konyagi..... Serengeti lite inakimbiza mbayaaa CASTLE lite.... ... naona umeongelea ki ushabik na wala sio kiualisia
Ewaaaaaa.... hakyamama hata mi nlikuwa nagonga Nyagi balaa... Hivi sasa nimeuliza mahaba kwa K vant. Nikitaka bia nalamba zangu Sere Lite taratiiiiiibu bila bugudha...
 
Ewaaaaaa.... hakyamama hata mi nlikuwa nagonga Nyagi balaa... Hivi sasa nimeuliza mahaba kwa K vant. Nikitaka bia nalamba zangu Sere Lite taratiiiiiibu bila bugudha...
Acha kbsaa mkuu hii K VANT mpyaa kitu fresh...... Serengeti lite ukipata ile barid basi utamu n zaid ya kupiz ..... na Kitimoto cha kuchomwa safi kbsaa
 
Acha kbsaa mkuu hii K VANT mpyaa kitu fresh...... Serengeti lite ukipata ile barid basi utamu n zaid ya kupiz ..... na Kitimoto cha kuchomwa safi kbsaa
Dah we jamaa utanifanya niwahi kuamka kesho usubuhi wallah...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…