backhouse 1 na 2 core
Pure 1&2 ,chand volume zote,tranta, understanding na Review.
NB:solve mifano yote ya pure 1&2 ndo huwa maswal ya NECTAP mara nyingi
Naombeni nisaidie kwajina la kitabu na mwandishii kama inawezekana.
Naombeni nisaidie kwajina la kitabu na mwandishii kama inawezekana.
Pure 1&2 ,chand volume zote,tranta, understanding na Review.
NB:solve mifano yote ya pure 1&2 ndo huwa maswal ya NECTAP mara nyingi
Backhouse 1 ni ya bam...mtu wa pure tumia kwa cod1 tu then fungia kabatin au mpe mtu wa pcb..cbg watumie!!
Kwa mtu wa pure maths hivi napendekeza
1)chand class 11( hii iko na trig nzuri na algebra)
2)chand class 12 hii ndio baba wa yote....integrals,D.Ena nyinginezo zipo za kumwaga!! Na hiki anza kusolve tokea form5..
3)backhouse 2 (au pure 2) hii nayo iko safi na ina maswali ambayo yana challenge sana..
4)c.j tranter
Hiki kwa beginners(form5) siwashauri sana maana kipo na maswal ambayo kama usipokua na moyo unaeza ama kombi.
Ila kwa wale nakonkodi(form6) hiki kitawafaa sana.
Zaidi:
Jarib sana kutafuta past pepa za shule na sio necta..hapa naongelea pamflects zenye maswal ya shule mbali mbali then solve them!!! Bila kusahau series(mitihani ya kujipima hasa kwa wale wa form6), discussion NA UIPENDE TOKA MOYONI KOMBI YAKO!!! maths for life!!!!
Backhouse 1 ni ya bam...mtu wa pure tumia kwa cod1 tu then fungia kabatin au mpe mtu wa pcb..cbg watumie!!
Kwa mtu wa pure maths hivi napendekeza
1)chand class 11( hii iko na trig nzuri na algebra)
2)chand class 12 hii ndio baba wa yote....integrals,D.Ena nyinginezo zipo za kumwaga!! Na hiki anza kusolve tokea form5..
3)backhouse 2 (au pure 2) hii nayo iko safi na ina maswali ambayo yana challenge sana..
4)c.j tranter
Hiki kwa beginners(form5) siwashauri sana maana kipo na maswal ambayo kama usipokua na moyo unaeza ama kombi.
Ila kwa wale nakonkodi(form6) hiki kitawafaa sana.
Zaidi:
Jarib sana kutafuta past pepa za shule na sio necta..hapa naongelea pamflects zenye maswal ya shule mbali mbali then solve them!!! Bila kusahau series(mitihani ya kujipima hasa kwa wale wa form6), discussion NA UIPENDE TOKA MOYONI KOMBI YAKO!!! maths for life!!!!
Kitu cha Tranter a.k.a shetani mwekundu ni no noumer aise
aisee Tranta ni habari nyingine mkuu.Backhouse 1 ni ya bam...mtu wa pure tumia kwa cod1 tu then fungia kabatin au mpe mtu wa pcb..cbg watumie!!
Kwa mtu wa pure maths hivi napendekeza
1)chand class 11( hii iko na trig nzuri na algebra)
2)chand class 12 hii ndio baba wa yote....integrals,D.Ena nyinginezo zipo za kumwaga!! Na hiki anza kusolve tokea form5..
3)backhouse 2 (au pure 2) hii nayo iko safi na ina maswali ambayo yana challenge sana..
4)c.j tranter
Hiki kwa beginners(form5) siwashauri sana maana kipo na maswal ambayo kama usipokua na moyo unaeza ama kombi.
Ila kwa wale nakonkodi(form6) hiki kitawafaa sana.
Zaidi:
Jarib sana kutafuta past pepa za shule na sio necta..hapa naongelea pamflects zenye maswal ya shule mbali mbali then solve them!!! Bila kusahau series(mitihani ya kujipima hasa kwa wale wa form6), discussion NA UIPENDE TOKA MOYONI KOMBI YAKO!!! maths for life!!!!
aisee Tranta ni habari nyingine mkuu.
pia ikumbukwe Pure 1, Pure 2 na Tranta sio Text books so kwa mtu ane hitaji kusoma na kuelewa si vyema aanze navyo hivyo vitabu bora aanze na Chandi(Mkate) ndo aje kwa Pure 1 &2 na Tranta
Try this one