mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
cocaine ikasomeHii kitu ni Pandemic kama Covid kumbe 😄
arosto kama zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cocaine ikasomeHii kitu ni Pandemic kama Covid kumbe 😄
Weeeee acha maneno yako 😄cocaine ikasome
arosto kama zote
Ilifaa hiyo orodha uipakie hapa sasa tuyapakue hayo mapdf na siyeHapana mkuu nasoma kwenye simu au laptop soft copy
Mwanzo nilijua unata kuelewa lakini kupitia comments zako nimegundua una tatizo personal mkuu ,Swala la wafanyakazi kununua magari kwa mkopo huku hawana kipato cha kueleweka nalo hilo mpaka usome kitabu for real!!!!
Hivi vitabu kama vya Yeriko na vyenyewe utaita vitabu[emoji1][emoji1][emoji1]copy and paste.Yaani kuna waandishi ukiangalia jinsi wanavyopiga pesa za wajinga unabaki kucheka tu.
Utumwa wa fikra upo kwenye hivyo vitabu, vitabu vinakufanya uwe na akili ya delusional, inapunguza creativity.
Kama wewe ni mechanics soma vitabu vya mechanics, kama wewe ni politician base huko. Acheni kupoteza muda na kujipa umuhimu. utaishia kujisifiasiafia kuwa umesoma vitabu vingi lakini kiuhalisia UMEACHIVE NOTHING!!!!. STOP BEING A JACK OF ALL TRADE AND A MASTER OF NONE.
Kwa list Hmen's s every week unamaliza kitabu kimojaInawezekana mkuu katika hyo list kitabu nilichotumia mda mrefu ni long walk to freedom by NELSON Mandela maana nikirefu haswa nilikuwa ninakisoma sana sana siku za weekend nilitumia miezi miwili kwasababu ya mpangilio wake ulivyo ila sikulazimishi uniamini mkuu.
Lakini kitu kikubwa kwenye kusoma ni vocabulary nina mwaka wa 5 tangia nianze kusoma vitabu wakati naanza nilikuwa nasoma pages 5 kwa siku kwasababu ilikuwa maneno mengi yananisumbua maana yake nikawa natumia WORDWEB AND ENGLISH SWAHILI DICTIONARY zimenisaidia sana naweza kusoma pages 10 bila kuangalia maana ya neno hata moja kwasababu maneno mengi nishakutuna nayo siyo mageni kwangu kwa hyo nasoma bila kusimama.
Vitabu ambavyo nimetumia mda mrefu ni NEW WORLD ORDER na LONG WALK TO FREEDOM maana ni virefu sana ila kitabu cha pages 250 natumia siku nne tu ukimaliza sasa kwenye hyo list vitabu vingi havizidi 250 pages.
Lakini kwenye kusoma kuna level mkuu kuna BEGINNERS KUNA AMATEUR KUNA EXPERTS HALAFU KUNA PRO sasa inategemea upo level gani mkuu.
Alamsik.
Kwa wastani hapo unatakiwa usome kitabu kimoja Kila wiki ndo umalize. Jambo gumu sanaInawezekana mkuu katika hyo list kitabu nilichotumia mda mrefu ni long walk to freedom by NELSON Mandela maana nikirefu haswa nilikuwa ninakisoma sana sana siku za weekend nilitumia miezi miwili kwasababu ya mpangilio wake ulivyo ila sikulazimishi uniamini mkuu.
Lakini kitu kikubwa kwenye kusoma ni vocabulary nina mwaka wa 5 tangia nianze kusoma vitabu wakati naanza nilikuwa nasoma pages 5 kwa siku kwasababu ilikuwa maneno mengi yananisumbua maana yake nikawa natumia WORDWEB AND ENGLISH SWAHILI DICTIONARY zimenisaidia sana naweza kusoma pages 10 bila kuangalia maana ya neno hata moja kwasababu maneno mengi nishakutuna nayo siyo mageni kwangu kwa hyo nasoma bila kusimama.
Vitabu ambavyo nimetumia mda mrefu ni NEW WORLD ORDER na LONG WALK TO FREEDOM maana ni virefu sana ila kitabu cha pages 250 natumia siku nne tu ukimaliza sasa kwenye hyo list vitabu vingi havizidi 250 pages.
Lakini kwenye kusoma kuna level mkuu kuna BEGINNERS KUNA AMATEUR KUNA EXPERTS HALAFU KUNA PRO sasa inategemea upo level gani mkuu.
Alamsik.
Ndio hivyo mkuu ni time management tu sasa nakushauri soma kitabu cha THE POWER OF YOUR SUBCONSCIOUS MIND BY JOSEPH MURPHY halafu ukimaliza ulete mrejesho hapa defeat and wins all starts in the mind if you say no your mind will collect hundred reasons why is impossible but if you say yes your mind will find a way to solve it.Kwa list Hmen's s every week unamaliza kitabu kimoja
Kwa wastani hapo unatakiwa usome kitabu kimoja Kila wiki ndo umalize. Jambo gumu sana
Ni time management mkuu na kusoma kwa mda mrefu kwasababu vocabulary nyingi sana zilikuwa zinanisumbua ila jaribu kutumia dictionary ukizoea vocabulary nyingi utasoma kwa kuelewa na utasoma page nyingi sana punguza matumizi ya Facebook Instagram tiktok na movie utatoboa.Hongera sana , Mimi Kwa mwaka nikisoma sana ni vitabu 4 , naomba unisaidiye mbinu inayo kuwezesha kusoma vitabu VINGI hivyo mkuu.
Kwenye siasa ukiingia bila mtu wa kusoma soma wanakupoteza nadhani humu kuna vijana wa ccm na chadema waulize heshima yao inatokana na nini kwenye kuwaandaa kwenye siasa lazima kuna baadhi ya vitabu uvisome la sivyo watu watasafirisha mapema sana.Hizo stori ni chachu ya kuuza hivyo vitabu. Mimi sijasema mtu asisome vitabu ila napinga mtu kusomasoma hovyo.
Katika swala la siasa wewe wala huitaji kusoma vitabu wewe unatakiwa uwe mtu wa ndio mkuu!!! hapo mambo yako yataenda bila wasiwasi,katika siasa ni zambi kufikiria nje ya box hutakiwi kufikiria kwa akili zako bali kufata nini maGODFATHER wako wanataka.
Huwezi nishawishi mimi kusomsoma hovyo maana hakuna faida zaidi ya kuwa mtumwa wa fikra za watu.Hao waandishi wanawalaghai na stori za mafanikio ili mununue vitabu vyao wao waendelee kupiga pesa. Stuka ondoka kwenye huo utumwa!!!
The New Case for Gold kitabu safiHongera sana Mkuu mimi nimesoma hivi:
1. Mashujaa wa Tanzania cha J.E. Mhina
2. Reli ya Uhuru cha J.P. Mbonde
3. Saving Justice by James Covey
4. Negotiating with Tough Customers by Steve Reilly
5. The White Nile by Alan Moorehead
6. The Art of Negotiations by Tim Castle
7. Duarani cha Amos Bwire
8. Meditations by Marcus Aurelius
9. Edible Economics by Ha-Joon Chang
10. Surrounded by Setbacks by Thomas Erikson
11. Up and Out of Poverty by Xi Jinping
12. A book of Secrets by Derren Brown
13. On my Father's Wings by Michael Shirima
14. Ukombozi kutoka kitabuni cha Maneno A. Mung'ong'o
15. Emotion by Design by Greg Hoffman
16. Only the Paranoid Survive by Andrew Grove
17. Historia ya Mapambano ya Mwafrika cha Hilary Mapunda
18. Mzazi acha Uzembe cha John Magoda
19. Livingstone's Last Journey by Reginald Coupland
20. Learning from Construction Failures by Peter Campbell
21. The Lenovo Way by Gina Qiao and Yolanda Conyers
22. The Monk who sold his Ferrari by Robin Sharma
23. Operesheni Kashmir cha Kamanda Amata
24. The new case for Gold by James Ruckards
25. So Good! They can't Ignore You by Carl Newport
26. Methali za Wahaya cha Mujuni na Dina Byabato
27. Outlive by Dr. Peter Attia
28. The Body keeps the score by Bessel Van Der Kolk
29. Cha Kale ni Dhahabu cha Mzee Yusuf Makamba
30. Mzozo wa ardhi ya Wameru cha Kirilo Japhet na Earl Seaton
31. Digital Minimalism by Carl Newport
32. Healing is The New High by Vex King.
SafiMafanikio ya Ben Carson ni yake build yours!!!!
Hapa duniani kuna wewe MMOJA, mimi MMOJA.Stop living other peoples life.
American life ni mbingu na ardhi na huku MAVUMBINI/SHITIHOLINI.
Usomaji wa vitabu ni kama kusikiliza sera za wanasiasa, these idiots/ Writers watafanya kila namna wakushawishi kuwa wao ndo the BRAINERS. Mwishoni ukija kugundua ukweli unajua hawa viumbe vyote wanavyoamini ndo wanavyoviandika.
Sasa kwenye somo la LOGIC ambalo wengi hawajalisoma, utapata kuona kwamba hutakiwi kuendeshwa na MITAZAMO YA MTU REGADLESS YA CHEO AU MAFANIKIO YAKE hii ndo msingi wa kujua kweli.
Ukifatilia hata hii minyukano ya siasa ni watu kukosa LOGIC tu hivyo wanabaki kuendeshwa na mihemko na mapenzi kwa wawapendao.
So back to the topic MIMI BADO NTAENDELEA KUSISITIZA utunzaji wa muda katika kuyaendea mambo.
Leo kuna watu wana degree saba wengine 1st degree kasoma MEDICINE, 2nd anasoma BUSINESS ADMINISTRATION anaongezea na LAW ila kwenye practise hana hata moja analofanyia kazi😁😁😁😁
Hawa opportunistic sio wakuwaendekeza hawa ndo "JACK OF EVERY TRADE, MASTER OF NONE"
Sio vijana tu. Hadi watu wazima na wazee wana uraibu na kupiga punyeto. Hii yote ni utandawazi na kutapakaa kwa video za pornography.hichi hapa kitasaidia vijana wanaoteseka na PULI.
Ninatamani kusoma hivi vitabu mwaka ujao, 2025 ( cha 3 na 4) kwenye orodha yako.Asante mkuu utakacho kipenda nita share na ww kati ya hvyo
Anza na hivi mkuu nitakuwekea vingine. View attachment Tapatalk-Download896768762Think Big Unleashing Your Potentials by Ben Carson Cecil Murphey.pdfView attachment The big picture by Ben Carson.pdfNinatamani kusoma hivi vitabu mwaka ujao, 2025 ( cha 3 na 4) kwenye orodha yako.
Tafadhali sana ninaomba msaada wako wa kuvipata.
- The big picture BY BEN CARSON
- Take the risk BY BEN CARSON
Itakuwa jambo zuri, wadau tupoHongera mkuu nataka nianzishe book club naona hapa kuna wadau wakutosha.