Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Vitabu nilivyosoma mwaka 2024

Pole mkuu,

Haijalishi upo kada gani lazima usome
Finance books,
Self help books,
Emotions books,

Kuna kitabu kinaitwa EGO IS THE ENEMY kinasema you will be hired 20% by IQ but you will be fired by 80% your EQ fuatilia yule kamanda wa dodoma alitumbuliwa kwasababu gani kwenye lile tukio la binti wa yombo
Na viongozi wengi kwa nini wanafeli kwenye uongozi wao ni kwasababu wanakosa EQ(emotional intelligence)

Vitabu vinakusaidia uzungumze nini kwa wakati gani viongozi wote duniani wanasoma vitabu tena vya mchanganyiko mbali mbali lazima ujifunze baadhi ya vitu kupitia vitabu la sivyo kwa hali ya sasa itakuwa unaenda anticlokwise.


Kitabu cha THINK BIG cha ben carson anaelezea jinsi alivyotoka kuwa kilaza wa darasa mpaka kuwa daktari bingwa kupitia vitabu baada ya mama yake kumwambia ampe SUMMARY ya vitabu vinne kila mwezi baada ya hapo maisha ya ben carson darasani yalibadilika mpaka mwalimu akashangaa tafuta kitabu cha Ben Carson THINK BIG NA GIFTED HANDS wape wototo wako wasome na wewe usome halafu urudi tena hapa jamvini kuleta mrejesho.

Alamsik.
Mkuu naomba hicho cha THINK BIG by ben carson tafadhali
 
mzigo mwingine huu hapa
 

Attachments

Mauwongo tu.
MTz ni vitabu wapi na wapi..acheni faking...

Maongezi ya mswahili toka anaamka hadi anaenda kulala yametawaliwa na Yanga na Simba, na uchambuzi wa akina Jemedari, Oscar, anapata muda wapi wa kusoma vitabu.
 
Mwanzo nilijua unata kuelewa lakini kupitia comments zako nimegundua una tatizo personal mkuu ,
Kwanza sijamlazimisha mtu kusoma vitabu hilo ulifahamu yaani mimi kwa perception niliyonayo kwenye vitabu natakiwa nipelekwe sober siwezi kuacha kusoma vitabu mimi najua faida zake nyingine siwezi kuzitaja hapa ila mimi ndio nimechagua njia hyo kama wewe ulivyochaguwa kushinda Facebook Instagram tiktok WhatsApp na kuangalia movie.
Kama vitabu vinapoteza ngoja nipotee mkuu ila mimi nimechagua njia hyo kumbuka hata hyo elimu uliyo nayo imetokea kwa wazungu 80% ya vitu unavyomiliki au ulivyonavyo vimetoka kwa wazungu kuanzia laptop yako simu yako gari yko nguo zako sasa kama huo ndio ujinga kwa nini mimi nisiwe mjinga na mtumwa wa kama hao wanaokuletea vitu mkuu.

Alamsik.
Umenisikitisha ulivyoamua kumjibu Wajinga huwa wanatafuta nafasi hiyo ili wajue ujinga wao una Athari kiasi gani siku ingine piga kimya acha takataka ziende jalalani.
 
Umenisikitisha ulivyoamua kumjibu Wajinga huwa wanatafuta nafasi hiyo ili wajue ujinga wao una Athari kiasi gani siku ingine piga kimya acha takataka ziende jalalani.
Mwanzo nilijua anataka kuelewa kumbe anataka league nimeshaachana naye mkuu.
 
1. Mine boy - Peter Abraham
2. Ndoto ya mwendawazimu (Almasi za Mwadui) - Eddie Ganzel
3. Sanda ya jambazi - Hammie Rajab
4. Pili Pilipili - Faraji Katalambula
5. Miradi bubu ya wazalendo
6. Kanisa katoliki na siasa za Tanzania
 
Habari za mchana wakuu,

Ikiwaa tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 huku wengine wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwa ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya mapumziko ya Christmas na mwaka mpya yanayoanza kesho nawatakia safari njema mungu awalinde.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao, nipo addicted na kusoma vitabu, yaani nina hangover nisiposoma kitabu kwa siku napenda kusoma vitabu kusoma vitabu ni miongoni mwa hobby yangu namba moja kwenye maisha yangu.

Leo ningependa ku share na nyinyi baadhi ya vitabu nilivyosoma kama ifuatavyo:

1.The diary of a CEO BY (STEVEN BARTLETT)

2.Think like billionaire become billionaire BY SCOT ANDERSON

3.The big picture BY BEN CARSON

4.Take the risk BY BEN CARSON

5.The road ahead BY BILL GATES

6.The joy of sex BY DR.ALEX COMFORT

7.Ego is the enemy BY RYAN HOLIDAYS

8.what is everybody is say BY JOE NAVARRO

9.Emotional intelligence BY DANIEL COLEMAN

10.Understanding your potential BY MYLES MUNROE

11.Non violent communication BY MARSHALL ROSENBERG

12.Body language BY ALLAN PEASE

13.Crucial conversation BY KERRY PETERSON, JOSEPH GREEN, RON MC MILLAN AND SWITZLER

14.The leader who had no title BY ROBIN SHARMA

15.Start with why BY SIMON SINEK

16.The happiness trap BY RUSS HARRIS

17.The courage to be disliked BY ICHIRO KISHIMI AND FUMITAKE KOGA

18.44 Ideas for better conversation everyday BY MIKAEL KROGERUS AND ROMAN TSCHAPPLER

19.The 21–irrefutable laws of leadership BY JOHN C. MAXWELL

20.Who moved my cheese BY DR.SPENCER JOHNSON

21.The mountain is you BY BRIANNA WIEST

22.The psychology of money BY MORGAN HOUSEL

23.Retire young retire rich BY ROBERT KIYOSAKI

24.Cash flow quadrant BY ROBERT KIYOSAKI

25.Rich dad guide to investing BY ROBERT KIYOSAKI

26.As a man thinketh BY JAMES ALLEN

27.The almanack of naval BY ERIC JORGENSEN

28.Love yourself pay yourself first BY DR ABIB OLOMITIYE

29.Long walk to freedom BY NELSON MANDELA

30.Dont believe everything you think BY JOSEPH NGUYEN

31.Gifted hands BY BEN CARSON

32.The power of your subconscious mind BY JOSEPH MURPHY

33.Every day hero manifesto BY ROBIN SHARMA

34.Who will cry when you die BY ROBIN SHARMA

35.How to talk to anyone BY LEIL LOWNDES

36.How to read a person like a book BY GERRARD I.NIERENBERG AND HENRY H .CALERO

37.13–Things mentally strong people do not do BY AMY MORIN

38.The first minutes BY CHRIS FENNING

39.The art of laziness BY LIBRARY MINDSET

4O.Getting things done BY DAVID ALLEN

41.Ikigai BY HECTOR GARCIA AND FRANCESC MIRRALLES

42.Man's search for meaning BY VICTOR E.FRANKI

Je wewe ni mdau wa vitabu share hapa vitabu ulivyosoma 2024 ili tubadilishane maarifa itapendeza sana.

Alamsik.
Mimi ni mtu ambae nipo inspired sana kwenye kusoma vitabu ..nipo chuo najiendeleza lakini mambo yanakuwa mengi mood ya kusoma vitabu nakosa kabisaa.
Naomba ushauri nifanye mwaka 2025 ni some vitabu Kwa namna yoyote ilee..
 
Mimi ni mtu ambae nipo inspired sana kwenye kusoma vitabu ..nipo chuo najiendeleza lakini mambo yanakuwa mengi mood ya kusoma vitabu nakosa kabisaa.
Naomba ushauri nifanye mwaka 2025 ni some vitabu Kwa namna yoyote ilee..
Kwanza punguza matumizi ya mitandao ya kijamii halafu huo mda replace na kusoma vitabu lakini pia unatakiwa uwe unatumia dictionary ili iwe rahisi kuelewa baadhi ya maneno ambayo yanajirudia mara kwa mara.

Usiache kusoma siku tatu mfululizo kwani kufanya hvyo unatengeza mazingira ya kusoma kwa mtiririko lakini pia unatakiwa uwe na notebook kwa ajili ya SUMMARY ya ulichokisoma.

Mitandao ya kijamii time management lakini pia unatakiwa uwe na muda maalum wa kusoma.

Anza kusoma kitabu cha atomic habits na power of your subconscious mind vitakusaidia sana kuwa na nidhamu ya kusoma.
 
Back
Top Bottom