snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Ebwana hata mie naanza kuamini kuwa shida huleta maarifa..
Kizazi ambacho watu hawakuwa na nyenzo they really worked hard kutafuta maarifa compared na hawa wasasa..
Last time nilikuwa Japan wanalalamika kuwa wanashindwa kupata ile 'cream ya intellectuals' iliyowabeba kwenye 'bubble economy' ya miaka ya 80s..Kizazi kilichopo kimekuwa cha cut and paste from wikipedia..
wala sio uongo,we kumbuka tulisoma lwa hali ngumu kiasi gani na sasa tupo wapi?babangu alikuwa na utaratibu wa ajabu kabisa lakini sasa naelewa kwanini alitufanyia vile.kila siku asubuhi yeye na mkewe wanaondoka na usafri kwenda mjini na mimi na dada zangu plus kakaz tulikuwa tunapanda mabasi,kila jumamosi tulikuwa tunaenda shambani,na kila jumapili ilikuwa ni day off kwa waliokuwa wanatusaidia kazi pale home.kila siku lazima kusoma usiku wote mezani mpka baba naposema huu ni muda wa kulala,tena tulikuwa hatuna umeme nakumbuka ilikuwa ni karabai,vitabu alivosomea aliyekutangulia darasa inakupasa uvitunze ili anayefuata avikute sasa ole wako kipotelee kwako!