Vitabu tu au kuna vingine? ushauri plzzz

Vitabu tu au kuna vingine? ushauri plzzz

Ebwana hata mie naanza kuamini kuwa shida huleta maarifa..
Kizazi ambacho watu hawakuwa na nyenzo they really worked hard kutafuta maarifa compared na hawa wasasa..
Last time nilikuwa Japan wanalalamika kuwa wanashindwa kupata ile 'cream ya intellectuals' iliyowabeba kwenye 'bubble economy' ya miaka ya 80s..Kizazi kilichopo kimekuwa cha cut and paste from wikipedia..

wala sio uongo,we kumbuka tulisoma lwa hali ngumu kiasi gani na sasa tupo wapi?babangu alikuwa na utaratibu wa ajabu kabisa lakini sasa naelewa kwanini alitufanyia vile.kila siku asubuhi yeye na mkewe wanaondoka na usafri kwenda mjini na mimi na dada zangu plus kakaz tulikuwa tunapanda mabasi,kila jumamosi tulikuwa tunaenda shambani,na kila jumapili ilikuwa ni day off kwa waliokuwa wanatusaidia kazi pale home.kila siku lazima kusoma usiku wote mezani mpka baba naposema huu ni muda wa kulala,tena tulikuwa hatuna umeme nakumbuka ilikuwa ni karabai,vitabu alivosomea aliyekutangulia darasa inakupasa uvitunze ili anayefuata avikute sasa ole wako kipotelee kwako!
 
Ebwana hata mie naanza kuamini kuwa shida huleta maarifa..
Kizazi ambacho watu hawakuwa na nyenzo they really worked hard kutafuta maarifa compared na hawa wasasa..
Last time nilikuwa Japan wanalalamika kuwa wanashindwa kupata ile 'cream ya intellectuals' iliyowabeba kwenye 'bubble economy' ya miaka ya 80s..Kizazi kilichopo kimekuwa cha cut and paste from wikipedia..

shida pia 'huleta furaha ukifanikiwa kuitatua'
mtoto ambae anatumia magari ya wazazi unafikiri
atakuja kupata 'furaha akinunua lake?
sansana utawasikia 'ahhh ningepata vogue hapa ndo ingekuwa bomba'
yaani hawezi hata kuthamini 'kidogo cha kwake'
 
wala sio uongo,we kumbuka tulisoma lwa hali ngumu kiasi gani na sasa tupo wapi?babangu alikuwa na utaratibu wa ajabu kabisa lakini sasa naelewa kwanini alitufanyia vile.kila siku asubuhi yeye na mkewe wanaondoka na usafri kwenda mjini na mimi na dada zangu plus kakaz tulikuwa tunapanda mabasi,kila jumamosi tulikuwa tunaenda shambani,na kila jumapili ilikuwa ni day off kwa waliokuwa wanatusaidia kazi pale home.kila siku lazima kusoma usiku wote mezani mpka baba naposema huu ni muda wa kulala,tena tulikuwa hatuna umeme nakumbuka ilikuwa ni karabai,vitabu alivosomea aliyekutangulia darasa inakupasa uvitunze ili anayefuata avikute sasa ole wako kipotelee kwako!

hiyo discipline imekusaidia mno
na pengine unatamani wanao wangeipata hiyo routines....
 
sana tu
wazazi wanapa watoto magari waendeshe kwa nia nzuri
but watoto dizaini hizo huja kudai mpaka viwanja wanunuliwe na wazazi
ikibidi hata nyumba kama hakuna ya kurithi siajabu wakarudi kudai kusaidiwa kujenga
na inakuwa sio ku beg na ku please,bali ku demand as if ni haki yao...
while wazazi wao walitafuta kila kitu wenyewe kwa jasho..

yani hawa watoto sijui tyunakosea wapi kulea jamani,manake mi sielewi to be frank!yani kijana naona ni haki kabisa tena anaidai kuwa ili aoe lazima anunuliwe gari,nyumba.atafutiwe kazi matokeo yake ndo mabinti wanakutana na mamaz boy humu,unafikiri kwa kijana aliyenunuliwa kila kitu na wazazi wake ndo ameoa huyo mzazi akija kuwaamulia wazae watoto wangapi kwenye ndoa yao mtamlaumu?
 
shida pia 'huleta furaha ukifanikiwa kuitatua'
mtoto ambae anatumia magari ya wazazi unafikiri
atakuja kupata 'furaha akinunua lake?
sansana utawasikia 'ahhh ningepata vogue hapa ndo ingekuwa bomba'
yaani hawezi hata kuthamini 'kidogo cha kwake'

Ni kweli kabisa mkuu inakuwa ngumu sana kujisimamia kiakili kwa mtoto anayezaliwa na kukuta mazingira mazuri ya kifamilia. Na hata ukiangalia wale wanaofumba macho na kuonyesha moyo wa kujitafutia vya kwao huwa na moyo wa kujali sana na huwa na mafanikio pia. Niliwahi kupanga nyumba moja hvi ambamo kijana alikuwa anademand hela ya nauli ya mzazi wake tu..yaan hata sie wapangaji tukimpa haiesabu anadai lazima apewe na mamaake na kweli asipopewa haendi shule hata kama nyie mmempa!!!
 
wala sio uongo,we kumbuka tulisoma lwa hali ngumu kiasi gani na sasa tupo wapi?babangu alikuwa na utaratibu wa ajabu kabisa lakini sasa naelewa kwanini alitufanyia vile.kila siku asubuhi yeye na mkewe wanaondoka na usafri kwenda mjini na mimi na dada zangu plus kakaz tulikuwa tunapanda mabasi,kila jumamosi tulikuwa tunaenda shambani,na kila jumapili ilikuwa ni day off kwa waliokuwa wanatusaidia kazi pale home.kila siku lazima kusoma usiku wote mezani mpka baba naposema huu ni muda wa kulala,tena tulikuwa hatuna umeme nakumbuka ilikuwa ni karabai,vitabu alivosomea aliyekutangulia darasa inakupasa uvitunze ili anayefuata avikute sasa ole wako kipotelee kwako!

Mzazi wenu alikuwa anawajengea 'self discipline'
Unapozaliwa na kukuta kila kitu kipo kwenu unajenga katabia flani kakuona kuwa 'kila kitu ni haki yako'
Na mbaya zaidi unasahau kuwa hata wazazi wako walifight pia kufika hapo walipo!!!
 
pole, nakumbuka enzi zangu lol
iliwahi tokea ila kwa staili tofauti.

Niliduwaa kama nimebanwa mlango.

dah.....mi nakumbuka niliambiwa nitembee na kopo lenye mfuniko......nikimuona niingie humo.....kisa nimemkataa.....akanidai kanda yake ya Dr Dre nikawa nimepoteza.......wavulana bana......
 
Mpaka waje kufungua shule mbona kazi tunayo......lol!
Afu ukute wewe unachoma ada kumbe yeye anaendekeza hizi habari...

yaani acha tu kaka mkubwa haya mambo haya nilimwambia mwanagu siku nikisikia ana mdada nitamtahiri mara ya pili lkn baba yake akanizodoa unataka awe na mkaka ikabidi niwe mpole. jamani tuwamombee watoto wetu
 
wala sio uongo,we kumbuka tulisoma lwa hali ngumu kiasi gani na sasa tupo wapi?babangu alikuwa na utaratibu wa ajabu kabisa lakini sasa naelewa kwanini alitufanyia vile.kila siku asubuhi yeye na mkewe wanaondoka na usafri kwenda mjini na mimi na dada zangu plus kakaz tulikuwa tunapanda mabasi,kila jumamosi tulikuwa tunaenda shambani,na kila jumapili ilikuwa ni day off kwa waliokuwa wanatusaidia kazi pale home.kila siku lazima kusoma usiku wote mezani mpka baba naposema huu ni muda wa kulala,tena tulikuwa hatuna umeme nakumbuka ilikuwa ni karabai,vitabu alivosomea aliyekutangulia darasa inakupasa uvitunze ili anayefuata avikute sasa ole wako kipotelee kwako!

dah!unanikumbusha enzi zile za mkoloni wetu acha kabisa yale yalikuwa maisha bana. mtoto nyumbani unajua huyu ni baba na huyu ni mama mtalima mboga na mashamba kama kubota akikupeleka shule anachagua shule yenye kazi eti kisa ukirud home uwe na akili ya kazi.

jamani nilisoma weruweru huko kazi mtido mmoja hadi kuosha ng'ombe ukirud home hakuna kupumzika tena kama kuonsha ng'ombe uje na skills ulizo pata shule ukienda kupanda mahindi uje na skills ulizopewa shule yaani hadi unahisi duia si yako tena. leo hii mpe mtoto bustani ya hatua 4 tu uone cha mtema kuni lol!
 
yani hawa watoto sijui tyunakosea wapi kulea jamani,manake mi sielewi to be frank!yani kijana naona ni haki kabisa tena anaidai kuwa ili aoe lazima anunuliwe gari,nyumba.atafutiwe kazi matokeo yake ndo mabinti wanakutana na mamaz boy humu,unafikiri kwa kijana aliyenunuliwa kila kitu na wazazi wake ndo ameoa huyo mzazi akija kuwaamulia wazae watoto wangapi kwenye ndoa yao mtamlaumu?

HARD TIMES MAKES A MAN snowhite.....never forget that
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa mkuu inakuwa ngumu sana kujisimamia kiakili kwa mtoto anayezaliwa na kukuta mazingira mazuri ya kifamilia. Na hata ukiangalia wale wanaofumba macho na kuonyesha moyo wa kujitafutia vya kwao huwa na moyo wa kujali sana na huwa na mafanikio pia. Niliwahi kupanga nyumba moja hvi ambamo kijana alikuwa anademand hela ya nauli ya mzazi wake tu..yaan hata sie wapangaji tukimpa haiesabu anadai lazima apewe na mamaake na kweli asipopewa haendi shule hata kama nyie mmempa!!!

watoto kuwapa kila wanachikitaka ni kuwa haribu
wape mahitaji tu....wajifunze tofauti ya 'haki yao' na 'privilege'
 
sana tu
wazazi wanapa watoto magari waendeshe kwa nia nzuri
but watoto dizaini hizo huja kudai mpaka viwanja wanunuliwe na wazazi
ikibidi hata nyumba kama hakuna ya kurithi siajabu wakarudi kudai kusaidiwa kujenga
na inakuwa sio ku beg na ku please,bali ku demand as if ni haki yao...
while wazazi wao walitafuta kila kitu wenyewe kwa jasho..

Kuna utaratibu walikua nao wachaga,yaani mtoto akifeli shule anafukuzwa nyumbani,huu utaratibu kumbe ulikua mzuri!!
 
Huu utoto jamani ni balaa..Kwa kipindi hiki kwake yeye anahisi yuko sawa tu na ndiyo maana anaomba ushauri jinsi gani atamface mama yake mlezi.
Daah!! Wazazi kazi tunayo. Yaan kama ni mwanangu sijui nikufanyaje tu.
Any way ni upepo tu utapita.
 
Yaani nimeangua kicheko kwa subwoofer hadi nakohoa!
Duh!
dah.....mi nakumbuka niliambiwa nitembee na kopo lenye mfuniko......nikimuona niingie humo.....kisa nimemkataa.....akanidai kanda yake ya Dr Dre nikawa nimepoteza.......wavulana bana......
 
ha ha ha, mie walienda kukodi mabaunsa tena yule pawa mabula.

Nikawaambia, sasa mende mnamuua kwa bomu??

Uzuri tukafunga shule hadi kuja kufungua wakawa wamesahau.

Afu hadi leo tuko mabesti kinoma, huwa nawakumbusha wanacheeka.

dah.....mi nakumbuka niliambiwa nitembee na kopo lenye mfuniko......nikimuona niingie humo.....kisa nimemkataa.....akanidai kanda yake ya Dr Dre nikawa nimepoteza.......wavulana bana......
 
Dada yangu nikushauri kwa sasa zingatia masomo kwanza, soma kwa bidii, hayo mambo utayakuta tuu usiwe na haraka nayo.
Pili just be honest kwa mlezi wako kihusu killichotokea na mwombe samahani, na kuapa kuto kurudia tena, akishakusamehe usirudie tena...


Habari wanajf
Mimi niko na tatizo , mpenzi wangu tuliyeachana hivi karibuni ameenda kudai vitabu hom, sijui ana maana gani na malengo gani kwangu coz si heshima mtu kwenda kichwakichwa kwa wazazi wa x-gal wako kujieleza ili iweje? hapa nilipo nimechanganyikiwa coz mazingira ninayoishi it is not easy for them kuichukulia hiyo issue kawaida, hapa tayari nimeulizwa maswali kadhaa na mama mdogo anayenilea najua itakuwa vigumu sana kwa yeye kuchukulia hiyo issue kawaida. Ushauri plz, tatizo pia kajieleza kuwa tulikuwa na uhusiano na hiyo kitu kwa jinsi ninavyomfahamu mama ni msala mtupu. Plz naihitaji ushauri wenu nifanyeje coz sijui amemueleza nini mama. nahitaji ushauri wenu coz sina mwingine wa kumuomba ushauri.
N.B
Vitabu alinipa mimi na kutokana na hasira zake aliniambia nivichome hivyo alivyovifuata kwangu nikamjibu nimevichoma kwahiyo ili anichomee akaona aende kunisemea hom na huko ameeleza sijui nini kwa mama mdogo.
 
watoto kuwapa kila wanachikitaka ni kuwa haribu
wape mahitaji tu....wajifunze tofauti ya 'haki yao' na 'privilege'

Well said. Remembering times nilikuwa naharibu madaftari kufungia mihogo. Kila kukicha siachi kuomba daftari mpya.
Mwishowe mzee akachoka nakuhitaji ni mletee daftari zangu zote lol. Daftari zikaja akahesabu karatasi za daftari zote hazifiki hata daftari moja.
Mzee akaenda dukani akaninunulia daftar moja akaja mbele ya macho yangu akachana karatasi mpaka zilizobaki kufikia jumla ya idadi ya karatsi zilizobaki kwa daftari yangu. He said hizi zitakutosha kwa masomo yako.
Hiyo wiki nilijifunza somo jamani, maana kila mwalimu alikuwa ananipakipondo cha hali ya juu kutokuwa na daftari ya somo husika.
Tangu hapo nilijifunza lol.
 
Back
Top Bottom