Huyu mkuu nimeshindwa kumuelewa kabisa, last wiki nimempigia simu akasema yupo k/koo nikamweleza nilipo tukakubaliana tukutane stesheni jioni lakini alisema kimebaki cha ufugaji wa kuku nikamwambia lete hicho tu.cha ajabu kaingia mitini hadi leo, wafanya biashara wa kibongo cjui kwanini huwa hatupo makini na kazi
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu
The truth shall set you free
Sijamchafua mkuu nimeongea kilichonitokea.
AFRICAN WE ALWAYS HATE THE TRUTH
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu
The truth shall set you free
wazo zuri, hapo red pakanifurahishaHusika na kichwa cha habari kwa anaeitaji kitabu cha ukulima wa vitunguu,mboga zote na matunda na ufugaji wa wanyama tajwa hapo chini anaweza kuniPm bei ni Elfu saba tu {7000/=}kwa kimoja na elfu ishirini {20,000/=} Kwa vitatu utakavyochagua.Gharama Za kudeliver ni zangu na mikoani MTATUMIWA Kwa gharama zenu
NB:Bei zimepanda kufidia gharama Za delivery
duuuh!Huyu mkuu nimeshindwa kumuelewa kabisa, last wiki nimempigia simu akasema yupo k/koo nikamweleza nilipo tukakubaliana tukutane stesheni jioni lakini alisema kimebaki cha ufugaji wa kuku nikamwambia lete hicho tu.cha ajabu kaingia mitini hadi leo, wafanya biashara wa kibongo cjui kwanini huwa hatupo makini na kazi
hapa sijui ulikuwa umejisahau ulichokisema awaliKama una shida nifuate kkoo siyo kuleta porojo Hapa JF unanunua kitabu uletewe mpaka ulipo unafikiri ni rahisi kumfikia kila Mtu Kwa wakati btw hela yenyewe unayolipa ni ya kitabu kimoja-THINK BIG GARAMA YAKE ITAKUWAJE KAMA UNGEKUWA NI WEWE
WEnzako Mbona wanafuata
hapo chacha...Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu
The truth shall set you free
kauli mbaya kwa mfanyabiashara. nilitaka niagize ila nimehairisha.I am busy my dear friend Kama unaweza kuja kkoo njoo Kama huwezi nikimtuma Mtu I will charge you extra cost btw kuna by bure umewekewa hapo juu you can refer
Husika na kichwa cha habari kwa anaeitaji kitabu cha ukulima wa vitunguu,mboga zote na matunda na ufugaji wa wanyama tajwa hapo chini anaweza kuniPm bei ni Elfu saba tu {7000/=}kwa kimoja na elfu ishirini {20,000/=} Kwa vitatu utakavyochagua.Gharama Za kudeliver ni zangu na mikoani MTATUMIWA Kwa gharama zenu
NB:Bei zimepanda kufidia gharama Za delivery
UFAFANUZI
1.KILIMO CHA MBOGA
Vitunguu,Nyanya,kabichi,karoti,mchicha,pilipili hoho na Madawa ya kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu
2.UFUGAJI BORA WA KUKU
Kuku wa kienyeji na kisasa
3.KILIMO BORA CHA MATUNDA
Michungwa,Miembe,Migomba,Minanasi,Mipapai,Mipesheni na Matikiti maji
4.USINDIKAJI WA MAZIWA
Mtindi,Yoghut,Siagi,Samli,Jibini na Askrim za Maziwa
5.UFUGAJI BORA WA MBUZI
6.NG'OMBE WA MAZIWA
7.NG'OMBE WA NYAMA(fattening)
8.UFUGAJI BORA WA NYUKI NA MAZAO YA ASALI NA NTA
9.UFUGAJI BORA WA NGURUWE
10.KILIMO CHA UYOGA
Karibuni wote
Cc
Kibananhukhu
Neema prosper
KeyserSoze
Chuvachok
Feiaidan
Nikolaevich
Xfactor
KeyceNjou
Jayonepey
The stranger
Maundumula