Vitabu vitabu vya ujasiriamali wa Kilimo cha mboga mboga,ufugaji na matunda


Kama una shida nifuate kkoo siyo kuleta porojo Hapa JF unanunua kitabu uletewe mpaka ulipo unafikiri ni rahisi kumfikia kila Mtu Kwa wakati btw hela yenyewe unayolipa ni ya kitabu kimoja-THINK BIG GARAMA YAKE ITAKUWAJE KAMA UNGEKUWA NI WEWE
WEnzako Mbona wanafuata
 
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu

The truth shall set you free
 
Weka mawasiliano yako hapa ,nami nahitaji niakufuata ulipo no yangu 0765510492
 
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu

The truth shall set you free

kusamehe sio dhambi. kuwa na moyo wa kujishusha then mfate kariakoo . Kumchafua JF sio solution
 
Sijamchafua mkuu nimeongea kilichonitokea.

AFRICAN WE ALWAYS HATE THE TRUTH
 
muongozo wa kilimo cha matunda na mboga pakuwa hapa ewe mnyonge wa tanganyika
 

Attachments

acha wizi vitabu vya ufugaji wa kuku na makandokando yake pakuwa hapa ewe mtanzania

Wizi wa nini mkuu you have them give them for free vyangu I sale Kama unaitaji unanunua Kama huwezi una wacha
 
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu

The truth shall set you free

I am busy my dear friend Kama unaweza kuja kkoo njoo Kama huwezi nikimtuma Mtu I will charge you extra cost btw kuna by bure umewekewa hapo juu you can refer
 
mkuu na mimi nahitaji 0715654320 nipo tegeta kibaoni
 
wazo zuri, hapo red pakanifurahisha
duuuh!
hapa sijui ulikuwa umejisahau ulichokisema awali
Kama ulijua hera ni ndogo kwanini ukubali kuleta then unaanza kuzungusha watu

The truth shall set you free
hapo chacha...
I am busy my dear friend Kama unaweza kuja kkoo njoo Kama huwezi nikimtuma Mtu I will charge you extra cost btw kuna by bure umewekewa hapo juu you can refer
kauli mbaya kwa mfanyabiashara. nilitaka niagize ila nimehairisha.
 

nahitaji kitabu nipo mvumi morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…