History tumia "mastering of history"ya mwl kato, vingne vlvyoandkwa na zisti kamili,shibitali afu changanya na kitabu kimoja kinaitwa WORLD HISTORY kama reference! kiswahili tumia waandishi kama saluhaya 1&2, pamja na nyambari 1&2 japo wengi wanamdharau lakini anasaidia sana kwa vtabu...!geog na gs nimesahau maana imekuwa ktambo kdogo!