Vitabu vizuri vya A-Level

Vitabu vizuri vya A-Level

Mp nyanso

Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
95
Reaction score
8
jaman mawazo na ushaur wenu wa kujenga, ishu ni kuelewa vtabu vzur na rejea za kutumia katka masomo ya history, geography, kiswahl na general studies vnavyolandana na muhtasar mpya-kidato cha tano na sita
 
History vitabu vizuri ni. *zisti kamili* mwl kati na shibitali. Geography ni. DT msabila na kiswahili ni j a masebo kubwa
 
History tumia "mastering of history"ya mwl kato, vingne vlvyoandkwa na zisti kamili,shibitali afu changanya na kitabu kimoja kinaitwa WORLD HISTORY kama reference! kiswahili tumia waandishi kama saluhaya 1&2, pamja na nyambari 1&2 japo wengi wanamdharau lakini anasaidia sana kwa vtabu...!geog na gs nimesahau maana imekuwa ktambo kdogo!
 
Back
Top Bottom