mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 537
- 837
Kikosi cha kisasiAsante Mkuu
Hivi kile kinachohusu binti wa kikongo aitwaye Mwadi na Willy gamba ni tittle ipi kati ya hiyo!!!?
Mwandishi ni MUSIBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikosi cha kisasiAsante Mkuu
Hivi kile kinachohusu binti wa kikongo aitwaye Mwadi na Willy gamba ni tittle ipi kati ya hiyo!!!?
Huyu mwamba pamoja na Elvis Musiba, walitisha sana, laiti hivi vitabu vingekuwa vinatumika ma shuleni,Habari?
Ninaomba nichukue fursa hii kuwatangazia wale wote waliokua wanatafuta vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwa sasa vinapatikana tena.
Orodha ya vitabu hivyo ni kama ifuatavyo;
1. Kiguu na njia 15,000
2. Zawadi ya Ushindi 10,000
3. Pesa Zako Zinanuka 10,000
4. Dar es Salaam Usiku 10,000
5. Kimbia Helena Kimbia 5,000
6. Roho ya paka 10,000
7. Tutarudi na Roho Zetu? 10,000
8. Salamu Toka Kuzimu 10,000
9. Malaika wa Shetani 10,000
10. Mikataba ya Kishetani 10,000
11. Mtambo wa Mauti 10,000
12. Najisikia Kuua Tena 10,000
13. Mikononi mwa Nunda 10,000
14. Lazima Ufe Joram 10,000
15. Nyuma ya mapazia
16. Dimbwi la damu
Kwa sasa vitabu hivi vinapatikana Posta mpya karibu na sanamu la askari.
Kwa mawasiliano zaidi nipigie kwa namba 0763044459 au 0712504985.
Karibuni saaaaaana.
[emoji1431]
Huyu mwamba pamoja na Elvis Musiba, walitisha sana, laiti hivi vitabu vingekuwa vinatumika ma shuleni,
IPO siku tutatengeneza movies au series za hv vitabu. ,