Vitabu vya dini vinamuonaje/vinatoaje taswira ya Mungu?

Vitabu vya dini vinamuonaje/vinatoaje taswira ya Mungu?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Maandiko ya dini yanaamini kuwa binadamu wa kwanza ni adamu hii inakubaliwa katika pande zote za imani ya kiislamu na ukristo.

Kwenye maandiko ya Bibilia yanasema kuwa mungu amekuumba kwa mfano wake na hata ukiangalia mwanzo wa ulimwengu aliummbwa adamu hivyo kwa nadharia hii wengi wa waandishi na viongozi wa dini wakaamua wampe mungu cheo cha bwana, baba kulingana na Ukristo.

Waislamu hawakuweza kutoa picha ya mungu na wao wakasema kuwa mungu hana mtoto,wala mwana na hakuna kinachofanana kabisaaa.

Baadhi ya imani au vyama kama freemasons na illuminate wao wanaamini kuwa mungu ni mwanamke sababu ni kwamba mungu ni upendo na kwa kiasi kikubwa mwanamke ndiye nyenzo ya upendo.

Binafsi,naona Mungu ni nguvu/Energy ambayo inasambaza nguvu katika vyanzo mbali mbali za nishati mfano maji,binadamu,jua,nwezi,moto n.k na uwepo wa nguvu hiyo ndiyo maisha yetu yanaendelea kuwepo.

NAWASILISHA
 
Ukianza mada za kujadili Mungu ni upi mdogo angu utachanganyikwa bure hata father of atheists Kurmarx alishindwa kudhibitisha kutokuepo kwa Mungu. Nguvu za ko elekezeni simba na Yanga ndo akili zetu Watanzania.
 
Ukianza mada za kujadili Mungu ni upi mdogo angu utachanganyikwa bure hata father of atheists Kurmarx alishindwa kudhibitisha kutokuepo kwa Mungu........ nguvu za ko elekezeni simba na Yanga ndo akili zetu watanzania.......
Mimi naamini yupo ila nataka tujadili watu wanamtafsirije..
 
Mimi naamini yupo ila nataka tujadili watu wanamtafsirije..
Wa Hindu Mungu yao ni Ng'ombe, wa kuristo Mungu wao ni Yesu wa budhist wana miungu mungi ikiwemo mawe, milima nk, waislamu Mungu yao ni Allah, omnipontent na omnipresent........kwahiyo cha muhimu ni sifa za huyu mungu sio muonekano wa huyu zmungu.
 
Wa Hindu Mungu yao ni Ng'ombe, wa kuristo Mungu wao ni Yesu wa budhist wana miungu mungi ikiwemo mawe, milima nk, waislamu Mungu yao ni Allah, omnipontent na omnipresent........kwahiyo cha muhimu ni sifa za huyu mungu sio muonekano wa huyu zmungu.
kwahyo kila imani ina mungu wake?

allah ina maana gani?
 
Maandiko ya dini yanaamini kuwa binadamu wa kwanza ni adamu hii inakubaliwa katika pande zote za imani ya kiislamu na ukristo.

Kwenye maandiko ya Bibilia yanasema kuwa mungu amekuumba kwa mfano wake na hata ukiangalia mwanzo wa ulimwengu aliummbwa adamu hivyo kwa nadharia hii wengi wa waandishi na viongozi wa dini wakaamua wampe mungu cheo cha bwana, baba kulingana na Ukristo.

Waislamu hawakuweza kutoa picha ya mungu na wao wakasema kuwa mungu hana mtoto,wala mwana na hakuna kinachofanana kabisaaa.

Baadhi ya imani au vyama kama freemasons na illuminate wao wanaamini kuwa mungu ni mwanamke sababu ni kwamba mungu ni upendo na kwa kiasi kikubwa mwanamke ndiye nyenzo ya upendo.

Binafsi,naona Mungu ni nguvu/Energy ambayo inasambaza nguvu katika vyanzo mbali mbali za nishati mfano maji,binadamu,jua,nwezi,moto n.k na uwepo wa nguvu hiyo ndiyo maisha yetu yanaendelea kuwepo.

NAWASILISHA
Huna tofaut na wanavyoamini waislam
 
India kuna msemo,watu wanasema "Ukimuona mtu yeyote anajiita mtu wa dini au anaitwa mtu wa dini,mfuate yule mtu,muulize'Mungu ni nini'"?
Basi, nilikuwa India katika ashram,bado sijausikia huu usemi,jamaa mmoja Mwafromarekani akaniuliza,'Do you mind if I ask you a stupid question?".
Nikamwambia anataka kuuliza nini?
Akasema,"Tell me, what is God?"
Basi nikasema,"Oh,that is a strange question!"
Siyo usemi hasa, actually ni stori ya Shirdi Sai Baba.( Yaani Sai Baba anayetoka Jiji la Shirdi)
Historia yake inasema,"No one knows where he came from,but he suddenly burst onto the religious world and started asking every religious leader,'What is God,?
 
Back
Top Bottom