muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Habari waungwana wa JF!
Naombeni msaada wa kupata vitabu/vitini vya kiswahili kwa ajili ya kujifunza 'creative writing'. Nahitaji kujifunza mimi mwenyewe ili niwe naandika vitu (kama hadithi fupi na ndefu, makala n.k) katika muda wangu wa ziada ambao huwa unapotea bure! Naomba hata kama una-'soft copy' (ambayo ndiyo ningependelea zaidi).
Chonde chonde jamani najua hapa kuna wanafunzi/wakufunzi wa UDSM, UDOM, OUT na hata chuo chochote ambao wanaweza wakanisaidia kwa hili, nimetafuta Internet na kupata vya Kiingereza lakini pia kwa vile napendele na vya kiswahili nikasema nije kwa wana bodi!
Thank you guys, hope my want is met!
CC. Kongosho, Mentor, CYBERTEQ, Mtambuzi, King'asti et all
Naombeni msaada wa kupata vitabu/vitini vya kiswahili kwa ajili ya kujifunza 'creative writing'. Nahitaji kujifunza mimi mwenyewe ili niwe naandika vitu (kama hadithi fupi na ndefu, makala n.k) katika muda wangu wa ziada ambao huwa unapotea bure! Naomba hata kama una-'soft copy' (ambayo ndiyo ningependelea zaidi).
Chonde chonde jamani najua hapa kuna wanafunzi/wakufunzi wa UDSM, UDOM, OUT na hata chuo chochote ambao wanaweza wakanisaidia kwa hili, nimetafuta Internet na kupata vya Kiingereza lakini pia kwa vile napendele na vya kiswahili nikasema nije kwa wana bodi!
Thank you guys, hope my want is met!
CC. Kongosho, Mentor, CYBERTEQ, Mtambuzi, King'asti et all