ytara jr.
Member
- Feb 6, 2014
- 61
- 22
Iko wapi EMAC wala rushwa tu wale,Tumeletewa OXFORD bora Nyangwine.
Kitabu cha Oxfort Art kina page 16 topic 8, rejea Civics f I Oxford.
Co kwamba nampinga Mmada, namuunga mkono ila tuangalie Upande wa ii.
Serikal ndo ina jukumu la kuangalia haya,i wap,yu wap Kawambwa,yu wapi Kikwete, 'et ufaulu umeongezeka' Sasa hv A=75-100. Wastan uneshushws,watoto wetu tuwafiche wapi. Wa kwao wanasoma International. Mawazl wanabebbwa na mbeleko za chuma,wala rushwa kama EMAC wanabadilishiwa nyadhfa,tuache masikini tufen na umaskin wetu.
Bodi ya mikopo nayo ni ya watt wa wakibwa.....downloading....wait...!
YtaraJr.
Kitabu cha Oxfort Art kina page 16 topic 8, rejea Civics f I Oxford.
Co kwamba nampinga Mmada, namuunga mkono ila tuangalie Upande wa ii.
Serikal ndo ina jukumu la kuangalia haya,i wap,yu wap Kawambwa,yu wapi Kikwete, 'et ufaulu umeongezeka' Sasa hv A=75-100. Wastan uneshushws,watoto wetu tuwafiche wapi. Wa kwao wanasoma International. Mawazl wanabebbwa na mbeleko za chuma,wala rushwa kama EMAC wanabadilishiwa nyadhfa,tuache masikini tufen na umaskin wetu.
Bodi ya mikopo nayo ni ya watt wa wakibwa.....downloading....wait...!
YtaraJr.