Vitabu vya sheria vilivyoandikwa na Watz

Vitabu vya sheria vilivyoandikwa na Watz

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
kakangu anaye mtoto anasoma sheria katika chuo fulani hapa bongo, ameniomba list ya vitabu vilivyoandikwa Kitanzania vya sheria vinavyoweza kumsaidia dogo chuo amnunulie. Naamini Maprofesa wetu watakuwa wameandika andika, navikumbuka vya ?fimbo na Dr Tenga, nimemrushia ile ya land. kwa wanaofahamu tafadhali, naomba list ya vitabu vya sheria vilivyoandikwa na Watanzania (kwa maana kwamba mtu aliyeandika akiwa nje ya Tanzania anaweza asiwe na uwelewa mzuri wa legal system ya Tanzania). please, weka list hapa chini.
 
Kuna vya issa Shivji .constitutional law etc
 
kakangu anaye mtoto anasoma sheria katika chuo fulani hapa bongo, ameniomba list ya vitabu vilivyoandikwa Kitanzania vya sheria vinavyoweza kumsaidia dogo chuo amnunulie. Naamini Maprofesa wetu watakuwa wameandika andika, navikumbuka vya ?fimbo na Dr Tenga, nimemrushia ile ya land. kwa wanaofahamu tafadhali, naomba list ya vitabu vya sheria vilivyoandikwa na Watanzania (kwa maana kwamba mtu aliyeandika akiwa nje ya Tanzania anaweza asiwe na uwelewa mzuri wa legal system ya Tanzania). please, weka list hapa chini.
Curriculum huwa zina vitabu maalumu, sio kusoma vitabu holela tuu.

Tanzania angesoma proceedings za mahakama mbalimbali zinatosha sana kumpa knowledge ya kutosha.

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom