mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
NEC ni zaidi ya Wajumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa jf tu unajificha na fake ID, sasa mtaani ndio utaonekana wewe
Jaribuni muone moto wake.Kuingia Street tu ndio njia iliyibaki
Zingepatikanaje sasa?Tulisema msiingie kwenye uchaguzi hadi TUME HURU ipatikane na baadhi ya sheria zinazosimamia uchaguzi zipatikane ikiwemo ya matokeo ya Urais kuwa challenge mahakamani.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulifanyika bila chama chochote kushiriki kuna kitu chochote kilichobadilika?Kama MAJORITY ya vyama vyenye nguvu wanaamua kutoshiriki, CUF ya Lipumba inakosa nguvu ya kuhalalisha uchaguzi.
Tulisema msiingie kwenye uchaguzi hadi TUME HURU ipatikane na baadhi ya sheria zinazosimamia uchaguzi zipatikane ikiwemo ya matokeo ya Urais kuwa challenge mahakamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa JF tu unajificha na fake ID, sasa mtaani ndio utaonekana wewe.
Jitahidini kujaza form kwa ufasha,kama kiswahili kinawashinda ,je kingereza anachokipigia chapuo mbelgiji?"Nimekuteua nimekupa madaraka, nakulipa mishahara, nimekupa nyumba nzuri, nimekupa gari nzuri, nk. halafu umtangaze mpinzani kuwa ameshinda uchaguzi Mkuu, utanitambua". Amesikika akisema bwana yule.
Jitahidini kujaza form kwa ufasha,kama kiswahili kinawashinda ,je kingereza anachokipigia chapuo mbelgiji?
Alikuwa anagombea kupitia chama ganiMgombea wetu wa Bagamoyo, Ndugu Vitali Mathiasi Maembe ameondolewa kuwania Ubunge wa Jimbo hilo.
Machafuko alete nani ? Kwa sababu Maembe amekatwa ? JARIBUNI MUONEHawa NEC watasabisha machafuko