Vitambulisho vya Wajasiramali: RC Rukwa aahirisha ziara

Vitambulisho vya Wajasiramali: RC Rukwa aahirisha ziara

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Bwana Joachim Wangabo amesogeza mbele kwa muda usiojulikana ziara yake katika Wilaya ya KALAMBO baada ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Wajasiriamali kususua.
Ziara hiyo ilikuwa ianze tarehe 14-17/01/2019. Hadi Jumapili tarehe 13/01/2019 ni vitambulisho 150 tu vilivyokuwa vimegawiwa kwa Wajasiriamali kati ya vitambulisho 6200 vilivyotegwa kwa wilaya hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom