Vitambulisho vya Wajasirimali viliishiaga wapi?

Vitambulisho vya Wajasirimali viliishiaga wapi?

Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Vipo vinaendelea na wajasiriamali wanaendelea kusajiliwa kwa mfumo kabisa kwa kila Halmashauri nchini!
Na wanalipia kabisa kwa control number! Sema hmfatilii mambo
 
Hivi nchi hii, hamkuona umuhimu wa JPM ?
Kama hamkuuona, mmelogwa kwa kweli,.
Kumpoteza yule jamaa tulipata hasara ya Karne
 
Back
Top Bottom