Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa.....nilitoka mkoani kukifata DarHivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
viletwe na zanzibarUnataka Virudishwe na kuboreshwa au
Wataletaviletwe na zanzibar
Hapa ndipo unapoona kuwa watanzania tu takataka kabisa! Kuwa hatuna viongozi but LOOTERS of roho na maisha ya watu!Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Vipo vinaendelea na wajasiriamali wanaendelea kusajiliwa kwa mfumo kabisa kwa kila Halmashauri nchini!Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Mimi na magufuli ni i kitu kimoja🤣🤣🤣🤣Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Vikuwa havina serial namba,Ilikuwa ni mambo ya ajabu, unampa mtu kitambulisho cha kazi wakati sio mwajiri wake!
Hata vingekuwa na serial number havikuwa na maana yoyote.Vikuwa havina serial namba,