Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mbeya tu mjomba, Mikoa yote inaendelea na harakati za kuwasajili waendesha boda, bajaji, machinga kwenye mfumo rasmi...ambao utawatambua...mambo mazuri hayataki harakavimerudi mbeya jiji wameanza kuandikisha
Nadhani kuna usajili unaendelea nowHivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Juzi kati mwenyewe nimejiandikisha lakini this time wanasema vinaprintiwa na Wizara DodomaNakumbuka ulikua unatakiwa uvae shingoni muda wote ukiwa kwenye ujasiriamali wako...saiv hamna kitu
Vilienda nae ChatoHivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Kivipi?Hivi nchi hii, hamkuona umuhimu wa JPM ?
Kama hamkuuona, mmelogwa kwa kweli,.
Kumpoteza yule jamaa tulipata hasara ya Karne
Ulikuwa upuuzi wa, jitu moja LA ikulu, likatumia rasilimali za umma, kufanya mradi wake, yapo mengi tu madudu,Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
ROOTERS? Bogus!Hapa ndipo unapoona kuwa watanzania tu takataka kabisa! Kuwa hatuna viongozi but ROOTERS of roho na maisha ya watu!
Typo err, mpaka unatukana. Muulize mama yako kama mimi ni bogusROOTERS? Bogus!
Vilizimwa na wafuataoHivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
Hata hao ambao saiz wanasiasitiza hivyo ni upigaji tuuuJuzi kati mwenyewe nimejiandikisha lakini this time wanasema vinaprintiwa na Wizara Dodoma
Ukija bila gadi nagawa dozi kwa wastani bila idadi.wauza madafu (wajasiriamali)
Walisema vitasaidia kupata mikopo machinga.Vilikuwa vya nini?
Siku hizi Munga o u a mkesha kama mwenge?Huyu bibi ameweza kubuni Nini zaidi ya kubuni mkesha wa muungano.
Nchi imekaa kitapeli snHata hao ambao saiz wanasiasitiza hivyo ni upigaji tuuu