Mimi ninachofahamu na ambacho kinaendana na akili na mazingira ya binadamu ni kuwa ukishamaliza kufanya kazi uliyopewa unalipwa ujira ambao sio ile kazi yako.Ndio mkuu we ulitaka ulipwe nini Papuchi 72?
Kwa sababa utaratibu ni kuwa utapata vizuri vya peponi mpaka ufuate masharti ya hapa duniani.kwa hiyo bikra hizo ni kwa wale waliofuzu masharti ya hapa duniani.Kama huko peponi kuna mabikra 72,
Kwa nini tusingeruhusiwa kuzimenya hapa hapa duniani tunakoziona?
- no 1 ndo ntaijadili no 4 na 5 haihitaji mijadala.no 2 .ni suala la tafsiri ya binadamu na maandiko yake.- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho.
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Mbona juice ni tamu na haijakatazwa, vipi kuhusu nyama ya kuku, hivyo vyote sio vitamu? Kajipange.
acha uongo mkuu.Juice ni hatari kwa afya yako.Ni bora ule tunda lenyewe.
Mimi ninachofahamu na ambacho kinaendana na akili na mazingira ya binadamu ni kuwa ukishamaliza kufanya kazi uliyopewa unalipwa ujira ambao sio ile kazi yako.
Sijawahi kuona mtu unalima alafu ukimaliza unaambiwa malipo yako ni kulima tena ile sehemu iliyobakia.
Akili yangu inakataaa jambo hilo.labda iwe unaabudu na mambo mengine mengii unapata apart from kuabudu.
Mabikra 72 naona inawezekana kabisa kwa sababu hapa duniani trela lake tumeambiwa tuanze na wanne kwaanza. [emoji16]
hakuna anaeweza kuwaza kimungu,sote binadamu unachowaza ujue unakiwaza kibinadamu kwa sababu ni mwanadamu.Nadhani tatizo ni kuwaza kibinadamu.
Pamoja na kijizungusha na kujibaraguza kote huko, mimi naona point yako hapo ni moja tu hiyo dash3!- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho.
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Sio wote, watumia bibilia ndo tunaenda kusifu na kuabudu, ila watumia quruan wanaenda bustanini kula mema ya duniani, mabikira72, mito ya asali na maziwa,
Pombe... kunywa juice au soda. Uzinzi tafuta MWANAMKE uoe,,.kiti moto ,,,kula MBUZI au ng'ombe ..kuruka ukuta .....endelea kukaa kibarazani ...TATIZO lipo wapi MKUU?- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho.
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Sio wote, watumia bibilia ndo tunaenda kusifu na kuabudu, ila watumia quruan wanaenda bustanini kula mema ya duniani, mabikira72, mito ya asali na maziwa,
Mbona juice ni tamu na haijakatazwa, vipi kuhusu nyama ya kuku, hivyo vyote sio vitamu? Kajipange.
Inanifurahishaga sana hii habari ya mabikra 72 na jinsi wahusika wanavyosubiri kwa hamu... kweli dunia haijawahi kuisha vitukoLeo ndio nimeamini kuwa Jehova na Allah sio wamoja yaani kwa Allah ni kubikiri mabikira wote hao halafu kwa Jehova ni kusifu na Kuabudu milele hivi huyo Allah mgawa mabikira kwa vidume ni Mungu wa DUNIA hii au?