Hivi ushawahi kunywa mirinda nyeusi wewe?- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Kitimoto twala sana tu, sema hivi umejikataza,kwani ukila itakaba kooni? au utakufa?Muulize shekhe kipozeo
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Umekatazwa na nani,?- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
- no 1 ndo ntaijadili no 4 na 5 haihitaji mijadala.no 2 .ni suala la tafsiri ya binadamu na maandiko yake.
No 1- Kuna Amri na makatazo na ushauri toka kwa Mungu.
Ukiisoma biblia yote, Mwanzo kati na Mwisho hakuna sehemu yoyote iliyokataza binaadamu kunywa pombe.
Ila kuna ushauri na madhara ya pombe na faida zake.
Lkn kuna madhehebu ambayo wao kwa mujibu wa kanuni zao na tafsiri ndeefu za kuungaunga na mifano toka kwenye biblia wamekuja na katazo la pombe.
Qur-an imetufundisha hili andiko Sura ya 5- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Huo ni uongo..Acha kudanganya watu wewe. Mwaka juzi nilifikia hotel moja pale UAE, muda wa msosi nikaagiza pork and salad. Nikaletewa kitimoto imenona hakuna mfano
Jiandae na wewe nikupeleke,Huo ni uongo..
Baharia anaona kama Mungu kamkatiri!- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
.. Hiyo UAE unayosema wewe ni ipi? Cos I've been to Dubai, Doha, Qatar na ndio emirates ambazo Atleast sheria zao sio strictly kama may be nchi nyingine Sharjah na nyingine zilizo chini ya uongozi wa Dini ya kiislam.. Dubai yenyewe tu regardless ni kuwa it's a metropolitan city andit have some diversity culture Lakini Pombe tu inapatikana kwenye Big Bars And only 3stars +Hotels..I Remember 2018 tunanunua bia kwa gharama ya hela ya kibongo 15k..so Acha uongo.. Karibu USAJiandae na wewe nikupeleke,
Duniani tumekuja kumsifu na kumuabudu Mwenyezi Mungu was mbinguni, Ila hulazimishwi.- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")
Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho
Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi."Umekatazwa na nani,?
Ahaaa, Kumbe wewe mwenzetu vizuri kwako ni Kufanya Ngono pasi na kuoa?"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi."
1 Wakorintho. 6:9-10 SUV
USA kwa kaffirs nije kufanya nini ?.. Hiyo UAE unayosema wewe ni ipi? Cos I've been to Dubai, Doha, Qatar na ndio emirates ambazo Atleast sheria zao sio strictly kama may be nchi nyingine Sharjah na nyingine zilizo chini ya uongozi wa Dini ya kiislam.. Dubai yenyewe tu regardless ni kuwa it's a metropolitan city andit have some diversity culture Lakini Pombe tu inapatikana kwenye Big Bars And only 3stars +Hotels..I Remember 2018 tunanunua bia kwa gharama ya hela ya kibongo 15k..so Acha uongo.. Karibu USA
Hulazimishwi kufuata maandiko matakatifu, Ila kaa ukijua kila uamuzi unaochukua utautolea hesabu mwisho wa siku.Ahaaa, Kumbe wewe mwenzetu vizuri kwako ni Kufanya Ngono pasi na kuoa?
Kuabudu Dubwana linaloitwa sanamu lisilo na faida?
Kumbe unapenda Kulawitiwa/kulawiti?
Kulewa hadi chakari watu wanafungua spear tires?
Kuwa jambazi kwako ndio uzuri?
Kutukana watuna kukashifu aibu za wenzio kwako ndio kuzuri?
Hiki ni kioja kweli maana mimi sioni kuwa kuna raha yoyote huko.
Ukiyashiriki mambo hayo ,Ubinadamu wako wote utapotea,utaishi kwa hofu, na utaambulia makovu, magonjwa na kufa kifo
cha aibu kwa au kuishia jela .Yale unayoyaita raha hayapo kabisa kwenye safu hizo mkuu, Mungu aliyekataza hayo ni
mwenye kujua yenye kutupa sisi binadamu furaha ya kweli duniani na kesho Mbinguni.
Tafakari.