Vitamu vyote vimekatazwa. Hivi Duniani tumekuja kufanya nini?

Vitamu vyote vimekatazwa. Hivi Duniani tumekuja kufanya nini?

- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Hivi ushawahi kunywa mirinda nyeusi wewe?
 
Nasmama hapo kweny hicho kitamu ulichoelezea na hukumu yake, wallah hyo kitu n tamu zaid ya kunogaaah. Aaaaah km n dhambi bhan npo tayar nkatumikie, ila kutofanya tamu hyo mmmh SIWEZI.[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?

Mnaishiaga hapo tu endelea mistari ya mbele kwenye ilo neno je yanasemaje? Na swali kwako mleta mada tupo agano la kale au agano jipya?
 
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Umekatazwa na nani,?
 
Tumsifu Yesu Kristo mkuu....

Hahaaa, kwema mkuu!?
- no 1 ndo ntaijadili no 4 na 5 haihitaji mijadala.no 2 .ni suala la tafsiri ya binadamu na maandiko yake.

No 1- Kuna Amri na makatazo na ushauri toka kwa Mungu.

Ukiisoma biblia yote, Mwanzo kati na Mwisho hakuna sehemu yoyote iliyokataza binaadamu kunywa pombe.

Ila kuna ushauri na madhara ya pombe na faida zake.

Lkn kuna madhehebu ambayo wao kwa mujibu wa kanuni zao na tafsiri ndeefu za kuungaunga na mifano toka kwenye biblia wamekuja na katazo la pombe.
 
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Qur-an imetufundisha hili andiko Sura ya 5

5. Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. ( kwa hiyo vyakula, wanawake,vinywaji na maeneo mazuri kuyatembelea kama mabustani fukwe za bahari na kadhalika)
 
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Baharia anaona kama Mungu kamkatiri!

Kuna mengi sana ametuandalia huko mbele ya safari.
 
Jiandae na wewe nikupeleke,
.. Hiyo UAE unayosema wewe ni ipi? Cos I've been to Dubai, Doha, Qatar na ndio emirates ambazo Atleast sheria zao sio strictly kama may be nchi nyingine Sharjah na nyingine zilizo chini ya uongozi wa Dini ya kiislam.. Dubai yenyewe tu regardless ni kuwa it's a metropolitan city andit have some diversity culture Lakini Pombe tu inapatikana kwenye Big Bars And only 3stars +Hotels..I Remember 2018 tunanunua bia kwa gharama ya hela ya kibongo 15k..so Acha uongo.. Karibu USA
 
- Pombe imekatazwa
- Kitimoto imekatazwa
- Uzinzi umekatazwa
- Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu")

Hivyo ni baadhi ya vitu vitamu, vyombo vya starehe vya kutumia unapokuwa umechoka au kuitaji kiburudisho

Lakini vyote vimekatazwa, hivi duniani tumekuja kufanya nini sasa?
Duniani tumekuja kumsifu na kumuabudu Mwenyezi Mungu was mbinguni, Ila hulazimishwi.
 
Umekatazwa na nani,?
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi."

1 Wakorintho. 6:9‭-‬10 SUV
 
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi."

1 Wakorintho. 6:9‭-‬10 SUV
Ahaaa, Kumbe wewe mwenzetu vizuri kwako ni Kufanya Ngono pasi na kuoa?

Kuabudu Dubwana linaloitwa sanamu lisilo na faida?

Kumbe unapenda Kulawitiwa/kulawiti?

Kulewa hadi chakari watu wanafungua spear tires?

Kuwa jambazi kwako ndio uzuri?

Kutukana watuna kukashifu aibu za wenzio kwako ndio kuzuri?

Hiki ni kioja kweli maana mimi sioni kuwa kuna raha yoyote huko.

Ukiyashiriki mambo hayo ,Ubinadamu wako wote utapotea,utaishi kwa hofu, na utaambulia makovu, magonjwa na kufa kifo

cha aibu kwa au kuishia jela .Yale unayoyaita raha hayapo kabisa kwenye safu hizo mkuu, Mungu aliyekataza hayo ni

mwenye kujua yenye kutupa sisi binadamu furaha ya kweli duniani na kesho Mbinguni.
Tafakari.
 
.. Hiyo UAE unayosema wewe ni ipi? Cos I've been to Dubai, Doha, Qatar na ndio emirates ambazo Atleast sheria zao sio strictly kama may be nchi nyingine Sharjah na nyingine zilizo chini ya uongozi wa Dini ya kiislam.. Dubai yenyewe tu regardless ni kuwa it's a metropolitan city andit have some diversity culture Lakini Pombe tu inapatikana kwenye Big Bars And only 3stars +Hotels..I Remember 2018 tunanunua bia kwa gharama ya hela ya kibongo 15k..so Acha uongo.. Karibu USA
USA kwa kaffirs nije kufanya nini ?
 
Ahaaa, Kumbe wewe mwenzetu vizuri kwako ni Kufanya Ngono pasi na kuoa?

Kuabudu Dubwana linaloitwa sanamu lisilo na faida?

Kumbe unapenda Kulawitiwa/kulawiti?

Kulewa hadi chakari watu wanafungua spear tires?

Kuwa jambazi kwako ndio uzuri?

Kutukana watuna kukashifu aibu za wenzio kwako ndio kuzuri?

Hiki ni kioja kweli maana mimi sioni kuwa kuna raha yoyote huko.

Ukiyashiriki mambo hayo ,Ubinadamu wako wote utapotea,utaishi kwa hofu, na utaambulia makovu, magonjwa na kufa kifo

cha aibu kwa au kuishia jela .Yale unayoyaita raha hayapo kabisa kwenye safu hizo mkuu, Mungu aliyekataza hayo ni

mwenye kujua yenye kutupa sisi binadamu furaha ya kweli duniani na kesho Mbinguni.
Tafakari.
Hulazimishwi kufuata maandiko matakatifu, Ila kaa ukijua kila uamuzi unaochukua utautolea hesabu mwisho wa siku.
 
Back
Top Bottom