The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
- Thread starter
-
- #21
Ni huyuJongo Jongo kapiga mmarekani mapema asubuhi ya pambano.
Ila kuna jamaa kazingua sana. Kapigwa kizembe. Hata familia yaje itakuwa inamcheka huko.
Nilipomuona tu nikajua lazima apigwe, kwanza ana mwili wa ofisini[emoji3][emoji3]
Kaingia Sasa mwamba class na mwaleTeam ibra mawee tujuane mapemaa
Team ibra mawee tujuane mapemaa
Hahahhaa ni yeye.
Kweli hata mwale Yuko vizuri saaanaHawa jamaa wote wako vizuri.
Hamna bhana. Mashabiki masikini wala hawanaga fujo kihivo. Hua watu Wana enjoy mbonaa. I'm sure waandaaji wamepata hasara japo superb prepations.Uko sa Sana Kwa ku note hii
Uko sahihi.
Nadhani ni kwa sababu mapambano ya leo baadhi yanahusisha wapiganaji wenye majina yao huko mbele kama hawa kina Pulev na yule Mmarekani.
Na ni mapambano ya ubingwa hivyo kwa vyovyote vile yana dau kubwa.
Na pia yawezekana ni njia ya kupunguza waswahili na watu wasio wastaarabu kuhudhuria hii mipambano yenye hadhi ya kimataifa wasije wakaharibu hadhi na status ya mpambano wenyewe.
Lakini kwa kweli ukumbi umeandaliwa vizuri sana, kama mbele tu.
Huwa wanajaa nje ya ulingo ukiwaondoa hawatoki. Matusi nje nje.Hamna bhana. Mashabiki masikini wala hawanaga fujo kihivo. Hua watu Wana enjoy mbonaa. I'm sure waandaaji wamepata hasara japo superb prepations.
Ila leo kapata mtu wa kumsumbua akili kidogo.Class hatarii huyu..mwepesi sana
Boxing yake inavutia sana
Ananifurahisha sana.Ibra class mawe anajua bana, ha ha kama mbele vile
Siye tuliopo machakani uku na umeme umekata tunasubili u- tube tuangalie.Ananifurahisha sana.
Kuna wakati anakuwa kama anaelekea kumaliza pambano halafu ghafla anaghairi.
Atanifutahisha zaidi akimlambisha jamaa sakafu hapo.
Jamaa alitekutana naye ni mvumilivu Sana aiseeAnanifurahisha sana.
Kuna wakati anakuwa kama anaelekea kumaliza pambano halafu ghafla anaghairi.
Atanifutahisha zaidi akimlambisha jamaa sakafu hapo.
Pole sana.Siye tuliopo machakani uku na umeme umekata tunasubili u- tube tuangalie.