Vitasa live

Vitasa live

Jongo Jongo kapiga mmarekani mapema asubuhi ya pambano.

Ila kuna jamaa kazingua sana. Kapigwa kizembe. Hata familia yaje itakuwa inamcheka huko.
Nilipomuona tu nikajua lazima apigwe, kwanza ana mwili wa ofisini[emoji3][emoji3]
Ni huyu
Screenshot_20210129-222119~2.jpg
 
Uko sa Sana Kwa ku note hii



Uko sahihi.
Nadhani ni kwa sababu mapambano ya leo baadhi yanahusisha wapiganaji wenye majina yao huko mbele kama hawa kina Pulev na yule Mmarekani.

Na ni mapambano ya ubingwa hivyo kwa vyovyote vile yana dau kubwa.

Na pia yawezekana ni njia ya kupunguza waswahili na watu wasio wastaarabu kuhudhuria hii mipambano yenye hadhi ya kimataifa wasije wakaharibu hadhi na status ya mpambano wenyewe.

Lakini kwa kweli ukumbi umeandaliwa vizuri sana, kama mbele tu.
Hamna bhana. Mashabiki masikini wala hawanaga fujo kihivo. Hua watu Wana enjoy mbonaa. I'm sure waandaaji wamepata hasara japo superb prepations.
 
Hamna bhana. Mashabiki masikini wala hawanaga fujo kihivo. Hua watu Wana enjoy mbonaa. I'm sure waandaaji wamepata hasara japo superb prepations.
Huwa wanajaa nje ya ulingo ukiwaondoa hawatoki. Matusi nje nje.
Mara nyingine pambano likiisha wanavamia ulingo.
Yaani bado wana mambo yasiyo salama.

Tournament ya leo ina hadhi yake flani hivi.
Zitakuja tu zile tournament zetu tunazozimudu kuhudhuria.
Hii ya leo tuwaachie wenye mkwanja
 
Ibra class mawe anajua bana, ha ha kama mbele vile
Ananifurahisha sana.
Kuna wakati anakuwa kama anaelekea kumaliza pambano halafu ghafla anaghairi.
Atanifutahisha zaidi akimlambisha jamaa sakafu hapo.
 
Ananifurahisha sana.
Kuna wakati anakuwa kama anaelekea kumaliza pambano halafu ghafla anaghairi.
Atanifutahisha zaidi akimlambisha jamaa sakafu hapo.
Siye tuliopo machakani uku na umeme umekata tunasubili u- tube tuangalie.
 
Back
Top Bottom