HahahahAtakua ni mwenye nyumba anakutisha, ili usije ukachelewesha kodi yake.
Nilijuwa tu itakuwa ni watu wa Tanga au Kigoma.Mambo vipi?
Kuna sehemu nimepanga ghetto room Moja vyumba vya nje ya nyumba kubwa ila Kuna uzio na nyumba kubwa wenyewe hawaishi wapo Tanga mjini ila uwa wanafikia wakija uku Bush
Mimi nipo chumba Cha nje ya nyumba kubwa Leo bhana mida ya saa 3 nikiwa nimetulia ghetto tulii nikawa naskia kama mtu anachezea kitasa Cha MLANGO wangu yaani anahangaika kabisa na MLANGO ila nikitoka hakuna mtu nikirudi kutulia baada ya muda iyo Hali inarudi Hadi mara ya tatu ni ivyo ivyo.
Leo Hadi niliingia upepo ila nikapotezea tu na nilikuwa mwenyewe tu mpangaji mwenzangu wa room ya pili hakuwepo
Kweli kazi π
Saa tatu za asubuhi au usiku? kama ni usiku na bado ukapata usingizi basi mkuu na wewe uko vizuri πMambo vipi?
Kuna sehemu nimepanga ghetto room Moja vyumba vya nje ya nyumba kubwa ila Kuna uzio na nyumba kubwa wenyewe hawaishi wapo Tanga mjini ila uwa wanafikia wakija uku Bush
Mimi nipo chumba Cha nje ya nyumba kubwa Leo bhana mida ya saa 3 nikiwa nimetulia ghetto tulii nikawa naskia kama mtu anachezea kitasa Cha MLANGO wangu yaani anahangaika kabisa na MLANGO ila nikitoka hakuna mtu nikirudi kutulia baada ya muda iyo Hali inarudi Hadi mara ya tatu ni ivyo ivyo.
Leo Hadi niliingia upepo ila nikapotezea tu na nilikuwa mwenyewe tu mpangaji mwenzangu wa room ya pili hakuwepo
Kweli kazi π
Ulizaliwa siku mojaMambo vipi?
Kuna sehemu nimepanga ghetto room Moja vyumba vya nje ya nyumba kubwa ila Kuna uzio na nyumba kubwa wenyewe hawaishi wapo Tanga mjini ila uwa wanafikia wakija uku Bush
Mimi nipo chumba Cha nje ya nyumba kubwa Leo bhana mida ya saa 3 nikiwa nimetulia ghetto tulii nikawa naskia kama mtu anachezea kitasa Cha MLANGO wangu yaani anahangaika kabisa na MLANGO ila nikitoka hakuna mtu nikirudi kutulia baada ya muda iyo Hali inarudi Hadi mara ya tatu ni ivyo ivyo.
Leo Hadi niliingia upepo ila nikapotezea tu na nilikuwa mwenyewe tu mpangaji mwenzangu wa room ya pili hakuwepo
Kweli kazi π
Siishi naye yupo town uko ila uku si katupangisha yupo wawili Kila mtu na room yake na ni room za nje ya nyumba kubwa ambayo hawaishi watu uwa anafikia akija uku bushAtakua ni mwenye nyumba anakutisha, ili usije ukachelewesha kodi yake.
Ule mkoa ni kama umelaaniwa fulani hivi na ndiyo maana watu hawataki kwenda kufanya kazi kule na KigomaTanga Mzee uku lushoto kwa mafundi Hadi mawaziri naskia wanakujaga uku kupikwaπ
Karibu tukusaidieMambo vipi?
Kuna sehemu nimepanga ghetto room Moja vyumba vya nje ya nyumba kubwa ila Kuna uzio na nyumba kubwa wenyewe hawaishi wapo Tanga mjini ila uwa wanafikia wakija uku Bush
Mimi nipo chumba Cha nje ya nyumba kubwa Leo bhana mida ya saa 3 nikiwa nimetulia ghetto tulii nikawa naskia kama mtu anachezea kitasa Cha MLANGO wangu yaani anahangaika kabisa na MLANGO ila nikitoka hakuna mtu nikirudi kutulia baada ya muda iyo Hali inarudi Hadi mara ya tatu ni ivyo ivyo.
Leo Hadi niliingia upepo ila nikapotezea tu na nilikuwa mwenyewe tu mpangaji mwenzangu wa room ya pili hakuwepo
Kweli kazi π