utamu wa lugha nahauKozi Mwana Mandanda...
Kulala Na Njaa Hupenda
Bora kibiti mkuu....kolomije hapana mkuu😀😀😀
Hii methali inafaa sana kwa nyakati kama hizi za usiku usikuMwana wa mwenzio kizushi akizusha zuka nae
[emoji13] [emoji13] umekosaaaKesho ataliwa yeye
Nakupa mji.....nenda kibiti[emoji13] [emoji13] umekosaaa
YaiHabarini wakuu,
Najua sisi sote tulipokuwa wadogo tulikuwa tunapenda vitendawili, nahau, mthali na mafumbo. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya kukumbuka enzi zetu ttukiwa shule yacmsingi....
Utaratibu ni kuwa MTU atatoa kitendawili, methali, nahau au fumbo na memba wengine wanajibu na utaratibu utaendelea vivo hivyo
Nikianza Mimi...kitendawili......nyumba yangu haina mlango........
kufuli1. Pamparume mlango wa chuma ukiifungua hauna huruma ...........!
2. Pppprrrrrrrrrrrrrrrrrr mpaka mecca......!
Mkishindwa mnipe mjivila kibiti nakataa!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] nenda ww kwanza ukirudi nakupa jibu.Nakupa mji.....nenda kibiti
We jamaa mkali sanaPANUA PAJA MKWAJU WAJA
Inalandana na hii hapaHeri Kenda Shika...
Kuliko Kumi Nenda Uje.
Mji karibu kibiti hukunipe mji mkuu
sizonje
Umekuja tena hukuMji karibu kibiti huku
Sasa uliingiaje?Habarini wakuu,
Najua sisi sote tulipokuwa wadogo tulikuwa tunapenda vitendawili, nahau, mthali na mafumbo. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya kukumbuka enzi zetu ttukiwa shule yacmsingi....
Utaratibu ni kuwa MTU atatoa kitendawili, methali, nahau au fumbo na memba wengine wanajibu na utaratibu utaendelea vivo hivyo
Nikianza Mimi...kitendawili......nyumba yangu haina mlango........
niko nje mkuuSasa uliingiaje?