Vitendo hivi vya mke wangu ni kawaida

Huyo ndiyo mzuri ,hata mimi sipendi "KURA MCHANA" ,wife anapenda "KURA MCHANA"....

Nilitaka kukuuliza kama antena anayo lakini ulishasema kwamba haujawahi kuona "SAMBUSA".

Je Utelezi Upogo au Pangu pakavu tia mchuzi?
We jamaaa bana. Itakua antena hana uoni kakuta bikira
 
Hongera kwa kuoa Bikra, mimalaya haifai
 
Kuna watu toka wadogo wanaaminishwa ngono dhambi na uchafu. Hilo linawakaa hata wakiolewa. Ushirikiano wao unakuwa sifuri kabisa. Kumkuta safi ni ishara aliaminishwa hivyo udogoni. Ni tiba inahitaji mwanasaikolojia.
 
Mila za kagera hizo kumbe bado kuna watu wanaziishi? Wife kakulia Bush amezungukwa na mashangazi maana huko shangazi ana nguvu sana kuliko mama, huyo hata kuchuchumaa hawezi (kutandama), kukalia jiwe ni mwiko eti linapunguza utelezi, vimasharti vingi vingiii na ukikiuka hata kimoja ni kifinyo, kwahiyo imemjengea uoga,

Kwenye bikira hapo, walipatilia mkazo mno, kwanza day one ilibidi aunt yake atangulie chini ya kitanda kusikia mikito na ndo angeondoka na shuka, km hamna bikira binti ni alifinywa na kurudishwa kwao na Shuka husika lingetobolewa katikati kwa kibatari......

Huyo kumbadilisha sio kazi nyepesi, kikubwa anakupa hata km kwa masharti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…