Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Sio ubakaji ni dai la hakiHaiwezekani ubakaji uhusike😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ubakaji ni dai la hakiHaiwezekani ubakaji uhusike😃😃
Ahna kumbe 😃😃Sio ubakaji ni dai la haki
😄😄Mkuu watu wanatembea na rozari maporin ndo hua hawajui kua rozari ni kanisani!!!! Sometimes mambo yanazdg mkuu 😀😀😀
We jamaaa bana. Itakua antena hana uoni kakuta bikiraHuyo ndiyo mzuri ,hata mimi sipendi "KURA MCHANA" ,wife anapenda "KURA MCHANA"....
Nilitaka kukuuliza kama antena anayo lakini ulishasema kwamba haujawahi kuona "SAMBUSA".
Je Utelezi Upogo au Pangu pakavu tia mchuzi?
Mapenzi hayana muongozo mkuu.Sasa mkuu mpaka shambani katikati ya mazao unataka na huko mzagamuane kwani nyie ni ngedere/tumbiri??? [emoji855][emoji41]
Hamna ndo inaongeza moraliHapo roho ya paka inahitajika mkuu maana kuzamisha tu mtu analia huku anaongea kwa uchungu unaweza kufikiria ukajiona unakosea
Hongera kwa kuoa Bikra, mimalaya haifai😂😂😂 Hao sinikabla ya ndoa mkuu, huyu kule kwao sijui kama wanafundwa coz n walokole ila cha ajabu siku ya kwanza alitandka shuka jeupee afu akalituma kwao kwa bus then nkadaiwa laki mbili ya shukran kwa shangaz coz ndo aloenda kulifua hlo shuka lenye damu na had leo lipo kwake
A very big scamRelationship is scam
Ataambiwa "watoto wanataka kwenda shule"Broo sa 11 kasoro dakika 16 amka ugonge mwanangu boda zitaanza kupita..
Mila za kagera hizo kumbe bado kuna watu wanaziishi? Wife kakulia Bush amezungukwa na mashangazi maana huko shangazi ana nguvu sana kuliko mama, huyo hata kuchuchumaa hawezi (kutandama), kukalia jiwe ni mwiko eti linapunguza utelezi, vimasharti vingi vingiii na ukikiuka hata kimoja ni kifinyo, kwahiyo imemjengea uoga,Lelo enzula inanyesha mkuu nko room nyingne kabisa kumwondelea usumbufu wa kulala chin coz mnyambo wangu akiwa periodic table hua analala chin na hata akijifungua hua analala chin kweny godoro lake had akikaza ndo anarud kitandan sijui ndo wanyambo wote wako hv
HahaAtaambiwa "watoto wanataka kwenda shule"
Amesema "mkazi wange mvua inanyesha leo".Broo sa 11 kasoro dakika 16 amka ugonge mwanangu boda zitaanza kupita..
Waje wamuharibie mkeMtafutie somo amfunde huyo sasa raha ya tendo iko wapi? 😃😃😃