Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

Samahani, naomba kujua hii pesa ya kujiunga Tsh elfu kumi,ni Mali ya Saccos au?
Pesa zote za kiingilio na michango mengine yote ya wanasaccos wanaojitolea wakati huu wa kuanzisha ushirika inaingia kwenye mfuko wa Vitendo SACCOS.
 
Wadau,

Tunawaomba wanataaluma walioainishwa chini hapa wajiunge na Vitendo SACCOS kwa faida ya wengi...

*Tangazo la Kujiunga VTS Training Forum*
VTS Training Forum inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika Kada mbali Mbali. Hii ni kutokana na uhitaji wa VTS kupata wataalam ambao tutasaidiana katika kutatua changamoto zinazotukabili katika ushirika wetu. Katika kufanikisha malengo yetu tunaomba wataalamu wenye taaluma zifuatazo watume majina yao. High involvement and commitment inahitajika ili tuweze kufikia malengo...
*Wenye taaluma zifuatazo mnakaribishwa sana:*
1.Kilimo
2.Apiculture/beekeeping
3. Setting up greenhouse
4. Mifugo
5. Food scientists
6.Hydroponic
7.Aquaculture
8.Aquaponics
9. Horticulture
10. Handicrafts
11. Basket weaving
12. Cooperative
13. Islamic finance
14. Project write up
15. Entrepreneurial skills
*_Na kwa yoyote ambaye taaluma yake haikutajwa asisite kuwasiliana nasi_*
*Tafadhali wasiliana na mratibu wa mafunzo Bi Asha kwa maelezo zaidi.*
*VTS...KWA MAENDELEO YETU*
Ahsanteni na karibuni sana. Kwa maelezo zaidi WhatsApp 0625249605

Ahsanteni.
Mwenyekiti.
 
Asante wazo zuri sana mm niko kanda ya Ziwa nitapenda nijiunge pia,swali langu ni pale ntapoitaji mkopo je patakua na ulazma wa mimi kuja kibaha? Na je Saccoss hii inachagua dini?
 
Asante wazo zuri sana mm niko kanda ya Ziwa nitapenda nijiunge pia,swali langu ni pale ntapoitaji mkopo je patakua na ulazma wa mimi kuja kibaha? Na je Saccoss hii inachagua dini?
SACCOS haichagui dini.

Hili la mikopo ndio kiini cha SACCOS.
 
Wadau,

Hapa tutatangaza biashara mbali mbali za wana Vitendo SACCOS.

Karibuni sana.

Abdul
0625249605
 
Naitwa Mwinyi wa CARE REAL ESTATE LIMITED tunatoa huduma zifuatazo:
.
.
.Tunapima viwanja,mashamba(surveying of plots and farms)
.Kufufua mipaka(Boundary recovery) ya viwanja na mashamba.
.Kutoa ushauri wa matumizi ya ardhi(land use) kwenye michoro ya mipangomiji(TP Drawing) kabla ya mtu kununua ardhi.
.Tunafanya Engineering surveys kama Topographic surveys, setting out etc.
.Tunauza viwanja kwa sasa vipo Mkuranga urban mkoa wa pwani.
.Tunashughulika na maswala ya umiliki(Hatimiliki) za viwanja na mashamba.
.
.
MAWASILIANO:
.Whatsapp no. +255713423642
.Email : mwinyimole@gmail.com
.Call: +255713423642 au +255625975160 Mwinyi Omar
.Ofisi zetu zipo Mkuranga na Dar es Salaam.
 
Habari, order ya haraka unahitajika mtama mweupe tani 200 ndani ya wiki hii. Kama unao njoo na bei yako tuzungumze *Bei ya kununulia haijapangwa .

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mwenyekiti Vitendo SACCOS 0625249605
 
Asante kiongoz lakin umenijibu nusu ,nauliza tena ntapoitaji mkopo yanipasa kusafili hadi Ofsin ndonipewe mkopo?
 
IMG-20170605-WA0067.jpg
IMG-20170605-WA0062.jpg
Kwa maelezo zaidi piga 0625249605
 
*Ubuyu wa Zanzibar*
Habari! Kwa mahitaji ya ubuyu Mtamu kutoka ZANZIBAR, Sasa unaweza kukufikia hapo ulipo kwa gharama ya *elfu 33* *tu kwa ndogo na elfu 55kwa ndoo kubwa* .. Weka oda yako inbox.. Uletewe mpaka ulipo kwa Dar.. Utalipia baada ya kupokea mzigo. Kwa mikoani utaongeza na gharama ya nauli tu.
*UBUYU NI HABARI YA MJINI KWA SASA USIPITWE NA FURSA HII.*
huu ni mwonekano wa ubuyu wetu
IMG-20170605-WA0072.jpg

Kwa maelezo zaidi piga as WhatsApp 0625249605
 
*Ubuyu wa Zanzibar*
Habari! Kwa mahitaji ya ubuyu Mtamu kutoka ZANZIBAR, Sasa unaweza kukufikia hapo ulipo kwa gharama ya *elfu 33* *tu kwa ndogo na elfu 55kwa ndoo kubwa* .. Weka oda yako inbox.. Uletewe mpaka ulipo kwa Dar.. Utalipia baada ya kupokea mzigo. Kwa mikoani utaongeza na gharama ya nauli tu.
*UBUYU NI HABARI YA MJINI KWA SASA USIPITWE NA FURSA HII.*
huu ni mwonekano wa ubuyu wetuView attachment 520185
Kwa maelezo zaidi piga as WhatsApp 0625249605

Kisa nini bibi weye kutudondosha mate na swaum hizi?

Nnautaka haswa huo ubuyu, nnakupigia sasa hivi. Whhhhlup.
 
Safi sana ndugu Zainab, ni kweli mfumo wa ISLAMIC BANKING umekuwa ukiwanufaisha watu wengi hasa ktk nchi za kiislam, lakn pia mfumo huu n world wide kwa sasa na mtu wa dini yeyote anaruhusiwa. Mfumo wa IB wenyewe haukopesh pesa taslim ila unakuwezesha mbadala wa hitaji lako. Kwa ufupi haudili na riba ila upo commercially. Mfano, ww unataka unataka kufungua duka la simu na unahtaji mtaji, mtaingia makubaliona yaan maelewano then wanakunulia hicho unachotaka, wanakupa kwa makubaliano then unaenda kufanya biashara yako.
Mkuuu mko vzr
 
Naweza kujiunga na ii saccoss ata sio diaspora je VP kuhusu taratibu za kujiunga!?
 
naona majina ya ki-islam tu, je ni saccos ya misingi ya kiislamu ama?
 
Back
Top Bottom