Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

yani hapa ingekua mwanaume kaja kusema amemkuta manzi wake anafanyiwa hivo weeee uzi ungekua wamoto huu…ila kapost mwanamke ni chai….😏😏😏😏 NAKAZIA SIO CHAI
 
yani hapa ingekua mwanaume kaja kusema amemkuta manzi wake anafanyiwa hivo weeee uzi ungekua wamoto huu…ila kapost mwanamke ni chai….😏😏😏😏 NAKAZIA SIO CHAI
namimi nakazia hakuna mwanaume anadinda kwa kupigwa vidole, hii ni CHA-I !!
 
Achana nae , acha kujipotezea mda, huna haja ya ushaur bhn jbu unalo, huyo ni upinde tena alyekubuhu kbs
 
DAAH pole dada😢
 
Huyu dada anajitungia stori zake kufurahisha genge tu
 
Huyu kaka tulifahamiana kwenye tamasha moja lililokuwa sponsored na TANAPA,hivyo yeye alikuwa akifanya kazi kwenye NGO'S moja ambayo makao makuu yake yapo hapa Arusha,l.

Yaleyale, siku hizo mkitaka kumpa mtu sifa ya Ushoga lazima muanze kwa kumhusisha na kufanya kazi kwenye NGO.
Yaani muda wote huo unaangalia tu, wanapinduana na kubadili styles unaangalia tu, ananyonya uume unaangalia tu, wanaendelea umaangalia tu, anaenda chooni wewe unaangalia tu, anarudi ma kunyonywa unaangalia wanaendelea tena unaangalia tu halafu baadaye ndiyo ukapiga kelele...mh hii mbona ni kama vile Chai Bora kilele cha Ubora??
 
Umekosea

Ungeingia ndani Ili mpige threesome
 
kili fair safari hii liafanyika wapi.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…