Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

UMEKUJA KWA PUPA SANA JF. SASA TUNASHINDWA ELEWA WEWE NI SHOGA AU NI MALAYA UNAYEJIUZA UNATAFUTA WANAUME HUMU JF. YAANI THREADS ZAKO ZINAONESHA KUNA KITU UNATAKA UFANYWE SASA WATU HATUJAJUA JINSIA YAKO HASA NI IPI. ILA TUNAJUA UNAJITANGAZA KWA STYLE HII.
 
yani hapa ingekua mwanaume kaja kusema amemkuta manzi wake anafanyiwa hivo weeee uzi ungekua wamoto huu…ila kapost mwanamke ni chai….😏😏😏😏 NAKAZIA SIO CHAI
Huwa wanateteana mno ingekuwa mwanamke ndio kafumaniwa nakuambia ingekuwa balaa humu
Na sie tujifunze
 
Baadhi ya watu wanaopiga kelele nyingi kwenye kadamnasi kuhusu LGBTQ ni kwasababu ama wako Curious na jambo lenyewe na wanaogopa kuuliza au wengi wao ni wenye mlengo huo na wanajificha kwa kujifanya wapingaji.


Nimepitia komenti nyingi naona niza wanaume wanaompinga dada wa watu kuhusu huyo mwanaume,kiukweli nimesikitishwa sana na komenti za watu wanaoshabikia mambo hayo.Hapa sasa ndipo mtaona namna tatizo lilivyokubwa na linavyoungwa mkono na vijana,badala mumpe ushauri dada wa watu na kumtia moyo nyie mnapinga alichowasilisha hapa.

Kumbe huwa mnakataaga mashoga huko kwenye majukwaa mengine ila hapa ambapo shoga kafumwa mnamtetea!.

HAKIKA WANAUME TUMEBAKI WACHACHE.

Wengi humu ni mashoga.


Mimi nikupe pole dada Nanamucho na ushauri wangu ni kwamba,Mungu ndiye alitaka ushuhudie hicho,suala la kumsamehe au kutomsamehe libaki kwako ila mimi ningependa msamehe ila kila mtu afanye yake,asikupotezee muda huyo tayari ni chakula cha watu.
 
Hiyo nI hadithi tu hamna kitu. UWONGO MTUPU. Acha ujinga kusumbua watu
 
wewe ni muongo, yaani unasimulia kana kwamba una enjoy unachokisimulia, huonyeshi hata chembe ya huzuni
 
Nimeupokea ushauri wako kaka yangu
 
Pole sana my dear; Ila Hakuna cha kutafakari hapa. Your ex who I assume you consider an ex now is gay...gay gay shoga na sidhan hata Km bisexual coz most men are either straight or gay and women who have swayed ndo are mostly bisexual; so hapo ni kumuacha tu na pia kapime HIV coz it was obviously he was doing this while with you for a while so kingine mpotezee usimtangaze coz Km unavyojua hii nchi na pia Wewe you will be dragged into the mud pia so unless kakupa HIV we mpotezee. Pia as a matter of advice na nyie wanawake mpunguze standards zenu za ajabu mpk mnaishia na closeted gay men. Kuna many red signs that are always there ila mnajifanya hamzioni coz he's good looking, light skinned I assume though I could be wrong, rich and vitu vizuri na hapo ndo mnapodondoka. Most straight men hawana makuu my dear and it's easier to spot them unlike gay men. Pili iyo cjui kutiwa kidole cjui what happened iyo ni excuse tu Hamna kitu ingawa I have heard yes some straight men during sex every now and then they like to be fingered Ila they don't like to talk about and hii it's because the prostate is very close and that area can be stimulated to anyone and feel some pleasure I guess but sio Iyo ya kila saa. So Nyie women muwe makini and during sex among many other things u can see the signs ila mnafumba macho tu because of what he has to offer and you ignore the majority of straight men who are not rich then mnakuja kulalamika men wameisha; Hapana not true; futeni izo standards zenu. So uyo jua he's gay and don't return to him and learn from this. About uchafu cjui nn; look we all have parts of ourselves that we like to keep private and that's why sex should be private hata Km if we saw our parents having sex tungekuwa disgusted that's what sex is...it's our primal animal nature. Again pole dada yangu and learn from it.
 
Waliosema ni Chai wote ndio michezo yao hiyo, wameona wameguswa kwenye michezo yao,
Tunasema kila siku ukiona Mtu anakemea kwa nguvu kitu ujue anakifanya hiyo ni saikolojia nyepesi sana,

Mdada hawezi kuleta jambo lake kama hili mkaliita chai na mwingine anasema mwanaume hawezi kutiwa kidole makalioni ina maana kuna njia mpya wanazitumia siku hizi [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…