Shangaaa wee mwenzangu, case za ulawiti kila siku uraiani.Sio Uongo, Wabongo ni Wanafiki sana...wakati kuna cases hadi za Wanandoa wanapita huko
Kwani imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kwanini ,nakuja
Hijawa kituu mkuu ,huyu member ametubwatukia vibaya sanaKwani imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwa wengine, sijawahi kuwaza huo ufirauni hata kidogo yaani hata nikiona demu kavaa kikuku tu mzuka wote unakataHuu ndio ukweli,japo tunajifanya watakatifu,lakini ni waraibu wa kwa mpalange,hakuna cha wasomi,matajiri,malofa,viongozi wa dini,wanasiasa,wasanii au wanamichezo,wote ni kwa mpalange
Hivi unajiskiaje ukikumbuka kwamba kuna siku jamaa alikufokoa samadi 🤣kila mtu hafanyi unajiuliza wanaofanya ni kina nani😂😂
Kwa mpalange🤣Nilikuwa naona ni sawa kwasababu ya utizamaji wa porno flani flani,
Nilipokuja kugundua porno ina uharibifu mkubwa sana kwenye akili za watu, nikafuatilia jinsi wale ma 'actress' wanavyoigiza hizo porno za kwa mpalange, nilishikwa na kinyaa sana.
Sijawahi na sitokaa nijaribu.
Porn zinaharibu sana vijana, huu ni ukweli usiopingika.
Halafu huo uharibifu unaletwa kwenye mainstream media kupitia miziki ya hao hao vijana wa hovyo.
Huo mchezo umekuwa maarufu, vijana wameunda misamiati kama;
-shing' mia
-kisamvu
-utope
-tigo
-ndogo
-kitundu cha huzuni nk.
Sikubaliani na takwimu zako lakini nakiri kuna tatizo kubwa.
hoja sio nani ni mstaarabu kwa sifa zipi,hoja ni wanaume wengi kwa sasa wanakula kwa mpalange,na hata viongozi wa dini wanakula na kuliwa kwa kwa mpalangeMungu aliumba viungo kwa matumizi yake, akaweka K kwa ajili ya kazi yake, kwanmpalange kwa ajili ya haja kubwa. Wewe ambae unapita huko utajiita mstaarabu?
Chemba yenyewe ukute ina TOPE LA MTORI, kila ukibomoa unaona linazibuka na kujaa kwa juu.Katika kitu sijajaliwa ni kuwa na ujasiri wa kufokoa chemba za binadamu wenzangu. Sitakaa nijaribu ufirauni wa namna hio.
Haijalishi status, wapo wasiokula. Ustaarabu unaendana na matendo including wasio kula. Maana huo si ustaarabu ni uhunihoja sio nani ni mstaarabu kwa sifa zipi,hoja ni wanaume wengi kwa sasa wanakula kwa mpalange,na hata viongozi wa dini wanakula na kuliwa kwa kwa mpalange
SAY NO TO RAPE : Incidents of sexual violence, particularly rape and defilement against students, have been on the rise in various areasHuu ndio ukweli,japo tunajifanya watakatifu,lakini ni waraibu wa kwa mpalange,hakuna cha wasomi,matajiri,malofa,viongozi wa dini,wanasiasa,wasanii au wanamichezo,wote ni kwa mpalange
Hatariiii SanaJamii yenu ipi?
Wewe unaijua jamii yangu?
Tena watu kama nyie ndio walaku wa vinyeo balaa.
Krip ya kuthibitisha hicho unachosema unazo mkuu?Huu ndio ukweli,japo tunajifanya watakatifu,lakini ni waraibu wa kwa mpalange,hakuna cha wasomi,matajiri,malofa,viongozi wa dini,wanasiasa,wasanii au wanamichezo,wote ni kwa mpalange
Mamdogo sema bana watu wapone..!!ningesema jambo ila wacha nitulie😂