Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Dunia Ina mambo
 
Ni worse kuliko kawaida hali mbaya.
kuna rafiki yangu alinipgia simu mwaka jana ananiambia mtoto wa dada yake alikuwa kidato cha pili mwaka jana alimtumia mwanafunzi mwenzake barua akimweleza kuwa waende chooni amfanyie hivi na vile yani in detail. aliyetumiwa akaipeleka kwa mwalimu ndo mzazi kupigiwa simu.
Dogo alitembezewa bakora ndipo wanagundua ameanza michezo hiyo kitambo na huwa weekend anaaga anakwenda shule kumbe anaenda kwa masponsor.
So, haya mambo ni makubwa sana na media zinayakuza. Vijana wanaona watu wanaotuhumiwa kujihusisha na mambo hayo wanaishi kwenye apartments and wanasukuma ndinga za maana tamaa zinawaingia na ndiyo mastar kwenye media.
Na sasa hivi jamii imeyafanya yawe ya kawaida.
 
Mwenyezi Mungu avinusuru vizazi vyetu
 
Hapa tuition juzi mvulana wa darasa la pili anamwambia mvulana wa chekechea, twende tukabakane.

Uchoga unaanza utotoni.

Nawatafuta wazazi wao niongee nao.
 
Huko zenji na mikoa ya pwani..wanawake wanalinda bikra ya mbele.. ila kuliwa nyuma rukhsa
 
Huyo kijana wa 4m 2 alimtumia mwenzake wa kidato kipi?
Afu huyo aliyetumiwa, alishindwa ku solve jambo yeye km yeye bila kuhusisha Walimu?

Useless boy, Lol

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
tunakaribia kubalace, straight 50% LGBTQ 50%, dunia ya leo ni changamoto sana ku-raise watoto, eti walimu, wachungaji/pastors etc ni LGBTQ openly 😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…