Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Najua sana ila linganisha tukio hilo kufanyiwa mwanamke na kufanyiwa mwanaume wapi panatia ukakasi?
 
Ww huwa wanachonga na yule muhudumu anapewa ka 5000 au 10000 anawaruhusu nendeni kuna mh mmoja alienda hotel fulani hapa dar anapenda tigo kafanya kamaliza muhudumu anenda safisha chumba kwenye shuka akaona ranginya njano walichafua shuka
Duh! Kwa aliyoya shuhudia naamini alijutia elfu10 ya rushwa aliyo pewa, mpaka hapo mbali na kushiriki ni kama alishikia miguu jamaa ajipigie! Kama kweli kuna Mbinguni basi kazi tunayo
 
Duh! Kwa aliyoya shuhudia naamini alijutia elfu10 ya rushwa aliyo pewa, mpaka hapo mbali na kushiriki ni kama alishikia miguu jamaa ajipigie! Kama kweli kuna Mbinguni basi kazi tunayo

Watu wanafanya sana uho mchezo sikuizi ndio fashion kwenye sex sijui unakutana na mwanamke anachomoa mbele anapeleka nyuma dah
 
Simba akikosa nyama anakula majani

Kikubwa tu wote wanawake na wanaume tuna promote
Lawama nyingi zinaangukia kwa wanaume, halafu asili ya kukimbia kuwajibika huwa ni yenu kumbuka Adam na Eva pale bustanini alipoulizwa, akajibu ooh si ni huyu mwanamke,,

Na wewe ndo hikihiki unafanya saiv,
 
Najua sana ila linganisha tukio hilo kufanyiwa mwanamke na kufanyiwa mwanaume wapi panatia ukakasi?
Kuna mchungaji aliishi na mkewe vizuri, na wakapata watoto kadhaa, yule mama mchungaji kuna michezo alikua anafanya wakati wa kujifungua hosp, mpaka pale shetani alipo mchoka, maana alitaka kumuelekezea kwenye trekta la kuni aka ghairi akamtupia kwenye gesi kabisa.


Siku ya siku ikafika mama mchungaji kwenda kujifungua mtoto mwingine wa tatu, siku hiyo haikua ya kawaida kwake kwani baada ya mapambano ya kimaisha ya kuhama hama akajikuta anaangukia kwenye kituo cha afya ambacho hakuna anaemfahamu na wana tabia tofauti na alio wazoea, yule mama akawa amesindikizwa na mama yake mzazi, mama mkwe wake, mdogo wake na mumewe mchungaji mwenyewe.[emoji15]

Baada ya kusubiri apatiwe huduma, ndugu hao wakawa wameketi karibi na chumba alichokua anapatiwa huduma, na humo ndani walikua watu kadhaa wanaoendelea na huduma, baada ya muda wale manesi watoa huduma wakapita wawili huku wanateta jambo japo ni kwa sauti " jamani ndio nini vile, yaani haya mambo ni uchafu kabisa, haiwezekani unamfanyia vile mkeo aiseee " wakiwa wanaendelea na safari yao, he baada ya muda anatoka nesi mwingine kama ana haraka akibaki mlangoni kama anachungulia akaomba msaada wa khanga hata mbili za karibu kuna mzazi anadharula, wale ndugu wakatoa khanga zao bila kujali anaenda kuhudumiwa nani.


Mda kidogo wanatoka wengine wawili wana soga " yaaani huwezi amini ukimuangalia anaonekana wa heshima sana ila hawafai kabisa, ndio nini vile, hujisikii kinyaaa ..... " Wale watu na watu wengine walio kua wanasubiri wazazi wao pale nje wakawa wanashindwa kuelewa hawa manesi wana nong'ona nini kila wakipita hapo.

Baada ya muda akaja nesi akamchukua mchungaji na mchungaji akamchukua mama mkwe wake wakaingia chumba cha daktari, kuumbe lile tukio ni lao, mama mchungaji amejifungua kwa taaabu sana na mtoto nusura atokee nyuma kwa jinsi palivyo oza, MZIKI ukaanzia hapo! Mchungaji hajawahi kula chakula hicho tangu amfahamu mkewe[emoji2962][emoji43][emoji848] aibu iliyo kuu kabisa ndoa ilivunjikia hapo hapo hosp

Haya mambo hayana mwanaume wala mwanamke ni aibu na dhambi
 
Samson alifanywaje na Delilah?

Wanawake wengi mnashawishi

Mfano mtoto wa kiume asiejielewa kikua na dada zake wengi lazima awe shoga au awe na pigo izo
Msituangushie jumba bovu kama hamna watumiaji bidhaa haiwezi kuwepo sokoni
 
Itakuwa dar es laam maeneo ya kinondoni, Mbagala na viunga vyake

Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija dar wengine wanabadilika sana

Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Kwahiyo kaka kunguru sisi wa mbagala na viunga vyake ndio vijana wetu mashoga kaka????🤣🤣🤣🤣🤣Vipi wale mahome boi wa pale tip top akina Baraka mtamu🤣🤣🤣🤣????Na wao mahardcore?????Au manzese ipi kaka unaisemea????
 
Huwezi linganisha aibu yake kwa usawa wewe,,mwanaume kuingiliwa kimwili!!!!! Huyo mama mchungaji kaoza lkn aliweza hata kupata mtoto je mwanaume akioza hivyo inakuwaje!!!

Msikwepe lawama ni juu yenu na athari nyie mnaathirika zaidi kuliko mwanamke
 
Unatia chumvi sio kihiyo. Ninachoona ni kuwa wanajionyesha zaidi kuliko zamani. Mashoga ni wachache sana sio kama unavyo report. Ila nguvu kubwa itumike kudhibiti mitandao inayowapa "airtime" na ku wa promote ili waonekana ni watu wa kawaida.

Sisi tuendelee kutumia was<ng< kama tusi na sio kuwaita mashoga. Serikali/wazazi wafuatilie miendendo ya malezi shuleni, nyumbani .
 
Manzese na Magomeni ni store ya gays [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi linganisha aibu yake kwa usawa wewe,,mwanaume kuingiliwa kimwili!!!!! Huyo mama mchungaji kaoza lkn aliweza hata kupata mtoto je mwanaume akioza hivyo inakuwaje!!!

Msikwepe lawama ni juu yenu na athari nyie mnaathirika zaidi kuliko mwanamke
Mungu atuepushie nawa toto wetu hawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…