Vitendo wanavyofanya Waarabu kwa timu zetu ni kukosa Ustaarabu

Vitendo wanavyofanya Waarabu kwa timu zetu ni kukosa Ustaarabu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Katika mashindano ya kimataifa, timu zetu zimekuwa zikishuhudia vitendo vya unyanyasaji na ukatili kutoka kwa wenyeji wao. Angalia timu nyingi ambazo zimekuwa zikinyanyasika kwenye mashindano haya, hali ambayo inatufanya tujiulize kuhusu kiwango cha ustaarabu walionacho waarabu.

Kwa mfano, timu kama Simba na Yanga zimepata matukio ya dhihaka na hujuma, ambapo wachezaji wetu wamekumbwa na hali mbaya sana. Vitendo hivi havishabikishi kwa namna yoyote ile na vinaonyesha jinsi ambapo baadhi ya wahusika wanavyokosa maadili na ustaarabu.

Hali hii ya vitendo vya ukatili na uvunjaji wa taratibu za michezo inachangia kwa kiasi kikubwa katika kuharibu picha ya mashindano haya na kuathiri maendeleo ya michezo. Timu zetu zinahitaji kujitahidi kuhakikisha kuwa zinapata haki na usawa katika mashindano haya, na kuendelea kupigania kwa ajili ya ustaarabu na heshima.

Sasa nawaambia tu waishie huko huko wasije jichanganya kwetu Yanga Wananchi. Wataumia mbwa hao.
 
Kuwa waarabu hawana ustaarabu. Angalia teams nyingi ambavyo zimekuwa zikinyanyasika huko kwao. Jamaa ni makatili sana. Simba na hata sisi Yanga Wananchi tumewahi hujumiwa. Jamaa hawana ustaarabu wahuni na wanyama sana.

Sasa nawaambia tu waishie huko huko wasije jichanganya kwetu Yanga Wananchi. Wataumia mbwa hao.
ndo manake ni magaidi,vita haziishi kwao!!!
 
Kuna sababu kubwa sana kwanini soka la afrika ni nyie waafrika pekee tu ndio mnalolichukulia serious, nje na Africa hakuna anayefuatilia kuhusu Soka la afrika, sababu Moja wapo ni huu upumbavuu na ujinga unaofanyika nje ya uwanja hili tu timu ziweze kushinda.

Real Madrid na Bayern Munich zimekutana zaidi ya mara 29 kwenye michuano ya ulaya Tena kwenye hatua muhimu za kiishindani, lakini sijawahi kuskia Wala kuona malalamiko yoyote kutoka kwenye hizo timu kwamba sijui wachezaji wa real Madrid wameibiwa vifaa vyao au wachezaji wa Bayern wamepuliziwa spray ya sumu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo au sijui vyakula vimekuwaje kuwaje.... In short mambo ya kipumbavuu kule huwezi kuskia yaani mtu anayefungwa ni kwa sababu ya uwezo alionao na sio kwa sababu ya mbinu chafu za nje ya uwanja...


Njoo huku afrika Sasa, yaani mambo ya ajabu ajabu tu mpaka mtu unaamua kuidharau tu michuano ya kiafrika, na ndio maana hata sponsors wa maana huwa hawaji huku tumebaki na huyo huyo mmoja tu Total energy miaka nenda miaka Rudi.. kwa sababu hakuna watu wanaolichukilia serious soka letu liliojaa ushenzi mwingi sana.
 
Back
Top Bottom