JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Nimekuwa na kawaida ya kusafiri kwenda Zanzibar mara kwa mara, kuna hili jambo limekuw alikinikera naona leo nilitolee povu, ni kuhusu baadhi ya viti vinavyotumiwa na abiria kusubiri muda wa kuanza safari. Hali ni mbaya, viti kadhaa vimeharibika na mamlaka zipo kimya tu, sometimes pia maeneo yanakuwa machafu wanashindwa kusafisha, ukijumlisha na joto linalokuwepo eneo hilo wakati wa mchana, hali inazidi kuwa mbaya. Mamlaka ya Bandari hamoni huu uchafu?