nccr-mageuzi yaliwakuta kama haya miaka ya 90 na sasa nccr ni kama marehemu!!! Dalili za mvua ni mawingu!!! Kugombania vyeo hata kabla uchaguzi haujafanyika!!!!amani haiji, ila kwa ncha ya upanga.
mimi naona ni mambo ya kawaida tu haya, hasa kwa vyama vilivyo na chati kama chadema.
mara nyingi migogoro ya namna hii huwa kama chekecheo la kuwachambua watu wenye nia mbaya na chama na kuwatenga, kwahiyo ni changamoto nzuri sana!
ukiangalia historia za vyama vingi, hata nchi za jirani, zimekuwa za mapambano, lakini hatimaye miafaka hufikiwa, na hiyo huwa ndio precedence ya cases zingine zitakazojitokeza mbele!
slaa for presidency 2010
Aibu tupu chadema yaani ni kichefuchefu!!!