Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nakushauri we ulie na smart PEKEE mda muafaka kanunue na katochi
Kana saidia sana sanaaa
Hasa kwenye shida ya chaji kwa kweli hakatanii
Pia kama UNATAKA namba zako za Siri unaziweka kule so HATA ukiacha smart yako sebulen unaenda pasha pub unajua M23 watapiga kwenye kitochi tu na inakuwa salama na ndoa yako
Pia faida nyingine HATA ikitokea wazee WA kazi wakapambana na wewe usiku usibishane nao wakabidhi katafute 15-20. Asbh UKo angani wewe tu KURUDISHA line zako
PIa kinasaidia kureduce cost za kijinga kama internet..iwapo simu imekata charge ya smart phone basi utumiapo hii UJUE unaokoa mbs kadhaa ukumbuke zile simu smart n kama mapepo HATA kama huna MPANGO WA KUTUMIA mbs utashangaa unafungua tikitak sijui fesibukuu na wale wazee WA tekcnohama kuangalia miili ya watu ndioo balaa unashangaa wiki umeliwa 10000 + kisa internet
Na mengine mengi nisiwajazie hapa mengine mkafanye hmwk kama mlivyokuwa shulen mwenu..
Mwisho na watakia ubahilinmwema kwa wale watakaoshindwa kununua simu za kitochi watakapopita na smart yako utaifahamu kitochi na maana yake
Halleluyaah
Kana saidia sana sanaaa
Hasa kwenye shida ya chaji kwa kweli hakatanii
Pia kama UNATAKA namba zako za Siri unaziweka kule so HATA ukiacha smart yako sebulen unaenda pasha pub unajua M23 watapiga kwenye kitochi tu na inakuwa salama na ndoa yako
Pia faida nyingine HATA ikitokea wazee WA kazi wakapambana na wewe usiku usibishane nao wakabidhi katafute 15-20. Asbh UKo angani wewe tu KURUDISHA line zako
PIa kinasaidia kureduce cost za kijinga kama internet..iwapo simu imekata charge ya smart phone basi utumiapo hii UJUE unaokoa mbs kadhaa ukumbuke zile simu smart n kama mapepo HATA kama huna MPANGO WA KUTUMIA mbs utashangaa unafungua tikitak sijui fesibukuu na wale wazee WA tekcnohama kuangalia miili ya watu ndioo balaa unashangaa wiki umeliwa 10000 + kisa internet
Na mengine mengi nisiwajazie hapa mengine mkafanye hmwk kama mlivyokuwa shulen mwenu..
Mwisho na watakia ubahilinmwema kwa wale watakaoshindwa kununua simu za kitochi watakapopita na smart yako utaifahamu kitochi na maana yake
Halleluyaah