MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Salaam, twende kwenye mada,
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa mavazi safi/kupendeza.
6. Kutokuwa na fani aina yoyote.
7. Kutokuwa na communication skills.
8. Kutokuwa na tabia ya kutunza akiba.
9. Kuridhika na chanzo cha mapato aina moja.
10. Kutokua risk taker.
Kuwa mwanaume kazi sana wakuu.
CREDIT: Mkaka Fulani
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa mavazi safi/kupendeza.
6. Kutokuwa na fani aina yoyote.
7. Kutokuwa na communication skills.
8. Kutokuwa na tabia ya kutunza akiba.
9. Kuridhika na chanzo cha mapato aina moja.
10. Kutokua risk taker.
Kuwa mwanaume kazi sana wakuu.
CREDIT: Mkaka Fulani