12. Kutokuwa tunza wazazi wako, na kuaamishia upendo wote kwa mwanamke na familia yake.
Umeandika Sheria nyng lkn sio lazima zote zi apply maana tunapita ktk nyakati tofauti za msoto na Mambo hubadilika.Salaam, twende kwenye mada,
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa mavazi safi/kupendeza.
6. Kutokuwa na fani aina yoyote.
7. Kutokuwa na communication skills.
8. Kutokuwa na tabia ya kutunza akiba.
9. Kuridhika na chanzo cha mapato aina moja.
10. Kutokua risk taker.
Kuwa mwanaume kazi sana wakuu.
CREDIT: Mkaka Fulani
Much appreciation Pal'๐๐Kutunza kupi mkuu!? Kwa upendo wa kujuliana hali!? chakula!? Malazi? Au matibabu?
Maana kuna sheria zingine zinategemea na hali ya wazazi alonao mtu
Mungu atusaidie atubariki wazazi ili tuwategemeze watoto wetu
Namba 10 ndo sifa kuu ya a successful man.Salaam, twende kwenye mada,
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa mavazi safi/kupendeza.
6. Kutokuwa na fani aina yoyote.
7. Kutokuwa na communication skills.
8. Kutokuwa na tabia ya kutunza akiba.
9. Kuridhika na chanzo cha mapato aina moja.
10. Kutokua risk taker.
Kuwa mwanaume kazi sana wakuu.
CREDIT: Mkaka Fulani
,niaje ni PMSalaam, twende kwenye mada,
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa mavazi safi/kupendeza.
6. Kutokuwa na fani aina yoyote.
7. Kutokuwa na communication skills.
8. Kutokuwa na tabia ya kutunza akiba.
9. Kuridhika na chanzo cha mapato aina moja.
10. Kutokua risk taker.
Kuwa mwanaume kazi sana wakuu.
CREDIT: Mkaka Fulani