😃😃Madanga jamani🤣🤣.... nimeamua kutulia na Baba K wangu....mahawara na wakome🤣
Hahaha!. Hongera sana.Madanga jamani🤣🤣.... nimeamua kutulia na Baba K wangu....mahawara na wakome🤣
nilipiga BAN baadhi ya vitu mkuu, sijui wewe ulipiga BAN vitu gani?Sasa mwaka 2022 nilianza kupiga “BAN “ baadhi ya vitu. tangu hapo nimekua n mtu nisiyepata msongo wa mawazo na amani sana.
But bado naendelea kupiga Ban
Wewe ni Vitu gan mwaka huu 2023 umevipiga BAN?
🤣🤣🤣 Ndo hivo....nimechagua utulivu
Asante Kaka akeHahaha!. Hongera sana.
Kila la kheri Madam.
nyetoIli usinge mbele au uishi kwa raha lazima kuna vitu uvi cut (ondoa),Block, au uvipige ban si kwa ubaya ila kwa afya ya akili yako na amani ya moyo!
Vitu hivi vinaweza kuwa vinakutia stress, au vinafanya ujisikie mnyonge, vinakuumiza, au vinakudharirisha au tu vinakurudisha nyuma au kukuzuia usisonge
Mara nyingi inaweza kua ni watu, maeneo, chakula, tabia, au chochote au ndugu!!
Sasa mwaka 2022 nilianza kupiga “BAN “ baadhi ya vitu. tangu hapo nimekua n mtu nisiyepata msongo wa mawazo na amani sana.
But bado naendelea kupiga Ban
Wewe ni Vitu gan mwaka huu 2023 umevipiga BAN?
🤣🤣🤣🤣umenifurahisha sana leo ujue[emoji3]
hongera mkuu, kwangu madem nimeweka kando,1.Bia[emoji706]
2.Soda za chupa[emoji706]
3.best friend[emoji706]
4.
5.
Najitahid kitu nisikipige ban haf nikakirudia hivo naenda taratibu
Madanga jamani🤣🤣.... nimeamua kutulia na Baba K wangu....mahawara na wakome🤣