Vitu gani ambavyo ni mtego?

Ila weeee! Mungu anakuona aisee!
 
Ulimeza doxy?
 
Hustle mkuu! Usije ukaingia mkenge kwa hawa mademu Koko... Pima nae VVU, gonga! Acha!

Bora nioe mshangazi B.O.T uniendeshe ila atalipia hata tuition fee ya mtoto nisipokuwepo
Yani unapima hapo hapo unapiga ..hapo bado hujakimbia maradhi mkuu
demu aliepata ukimwi 2 weeks before ukimpima utaona na je anauwezo wa kuambukiza VVu?
Kaka tumshukuru sana alieyeziumba mbingu na nchi maaana kuna rough nyingi sana tunazicheza ila anatulinda tu
 
Sipimi tu na hapohapo nakulana nae hapana... naanzisha nae kamahusiano ka uongo na kweli nimkule mara kadhaa nikikachoka naka-dump
 
Hao wote ni chawa pro.
Namuhurumia huyo bibi Faiza kwa umri wake wa alipaswa ajitambue na kuacha kushabikia uhuni.
Imagine mm sasa hivi nipo gizani hakuna umeme halafu anatokea jinga moja linaleta porojo zake huku kashiba wali maharage.
Wazee huwaambii kitu na CCM, nachekaga anavyojifanyaga yeye ndo mheshimiwa SSH

Na kuna majinga yanaaminigi hivyo. Wale walivyo busy wana time na huu ushubwada humu... thubutuuuu πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…