Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Master unaniangusha, si tulikubaliana mapenzi ni utapeliakisema condom zinamuwasha
Ila weeee! Mungu anakuona aisee!Demu mmoja alikuja geto nisha mpiga mashine vya kutosha sa ameoga amesha vaa kabisa halafu ana anza visingizio "halafu baby najiskia kuchoka mara baby halafu nausingiz mara utaskia halafu kule naenda hostel hamna hata ishu ya maana ya kufanya"
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.
Ulimeza doxy?Demu mmoja alikuja geto nisha mpiga mashine vya kutosha sa ameoga amesha vaa kabisa halafu ana anza visingizio "halafu baby najiskia kuchoka mara baby halafu nausingiz mara utaskia halafu kule naenda hostel hamna hata ishu ya maana ya kufanya"
Nika jua huu MTEGO anataka nimwambie alale mpaka kesho ikabidi niupangue kwa kusema ucjal baby we jikaze tu uende ukifika huko utalala tu...
Maana nilikuwa na mpango wa kuingiza goma lingine la kulala nalo mpaka asubuhi angenihalibia ratiba zangu tu.
Hustle mkuu! Usije ukaingia mkenge kwa hawa mademu Koko... Pima nae VVU, gonga! Acha!Hahaha kaka unatafuna maisha aise
π π πMaster unaniangusha, si tulikubaliana mapenzi ni utapeli
Unamchokoza FaizaFoxy na Lucas mwashambwa πKuambiwa tatizo la kukatika umeme litaisha baada ya miezi 6
Bei ya mafuta ipo juu kwa ajili ya vita ya Ukraine na Russia.
πππakisema condom zinamuwasha
Yani unapima hapo hapo unapiga ..hapo bado hujakimbia maradhi mkuuHustle mkuu! Usije ukaingia mkenge kwa hawa mademu Koko... Pima nae VVU, gonga! Acha!
Bora nioe mshangazi B.O.T uniendeshe ila atalipia hata tuition fee ya mtoto nisipokuwepo
Hao wote ni chawa pro.Unamchokoza FaizaFoxy na Lucas mwashambwa π
Exactly! I strongly agree with you πͺ πͺ πͺ πͺHustle mkuu! Usije ukaingia mkenge kwa hawa mademu Koko... Pima nae VVU, gonga! Acha!
Bora nioe mshangazi B.O.T uniendeshe ila atalipia hata tuition fee ya mtoto nisipokuwepo
Sipimi tu na hapohapo nakulana nae hapana... naanzisha nae kamahusiano ka uongo na kweli nimkule mara kadhaa nikikachoka naka-dumpYani unapima hapo hapo unapiga ..hapo bado hujakimbia maradhi mkuu
demu aliepata ukimwi 2 weeks before ukimpima utaona na je anauwezo wa kuambukiza VVu?
Kaka tumshukuru sana alieyeziumba mbingu na nchi maaana kuna rough nyingi sana tunazicheza ila anatulinda tu
Kaka Tunalindwa sana hatujui tu...Sipimi tu na hapohapo nakulana nae hapana... naanzisha nae kamahusiano ka uongo na kweli nimkule mara kadhaa nikikachoka naka-dump
Wazee huwaambii kitu na CCM, nachekaga anavyojifanyaga yeye ndo mheshimiwa SSHHao wote ni chawa pro.
Namuhurumia huyo bibi Faiza kwa umri wake wa alipaswa ajitambue na kuacha kushabikia uhuni.
Imagine mm sasa hivi nipo gizani hakuna umeme halafu anatokea jinga moja linaleta porojo zake huku kashiba wali maharage.