Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Facts🤝Kwahiyo ndio huniamini???
Huo ni mtego, haaminiki huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facts🤝Kwahiyo ndio huniamini???
Huo ni mtego, haaminiki huyo
Nashindwa ndugu Eagle... pisi nyeupe zinanifanya nisioe, nazichakata sana! 😋🤤😭😭😭Kaka Tunalindwa sana hatujui tu...
CHa muhimu ni kutafta pisi moja yenye heshima usogeze nayo life
Hiyo imeendaaaaa!MTEGO
Pension ya mstaafu tayari hukoHiyo imeendaaaaa!
Nyeupe zenye katako simpo aise kakaNashindwa ndugu Eagle... pisi nyeupe zinanifanya nisioe, nazichakata sana! 😋🤤😭😭😭
Hapo hadi password imeendaaaa! Hatariiii!!!Pension ya mstaafu tayari huko
nimwambie au utamwambia mwenyewe?1. Ukiwa unaondoka ugenini wakakwambia mbona haraka, usiondoke kesho usubiri kesho kutwa n.k huo ni mtego. Ondoka, hapo wanajikosha tu.
2. Unaaga kwenda kazini, mpenzi wako anasema usiende mpunzike kidogo, huo ni mtego, ukibaki unajipunguzia credits.
3. Unaongea na mtu af anasema nikipata vocha ntampigia af nitakupa majibu, au nikipata hela ntafanya x. Huo ni mtego.
4. Unabembelezwa kutoa siri, unaambiwa ' ukiniambia mimi simwambii mtu' huo ni mtego
5. Amekuacha kwa akaenda kwa mwingine, kisha anarudi kusema we ndo anakupenda, huo ni mtego, ni uongo
Mtego mwingine?
Una tofauti gani na taleban?Akishaona unakaa Apartment kali tu, mixer watasha na gabachori wa kumwaga... salamu za kimombo, umeme haukatiki. Pananukia bila kufukizwa udi wala Air-freshner, mageti yanafungwa na kufunguliwa kwa remote... ukifungua dirisha una-face bahari wanaanza...
"Mara ooh! Babe natamani nisifanye kazi, nikae na wewe kwako nikuhudumie mpenzi naona hutaweza ku-handle mambo yako yote alone hasa ya nyumbani, biashara zangu zinaweza niingizia pesa hata nikiwa home tu"
Nikamuwasha na block na nikamwambia mlinzi akija sema nimehama 😅
Depal you don't trust me?😂Kwahiyo ndio huniamini???
Huo ni mtego, haaminiki huyo
Kuweni na subira serikali inalifanyia kazi! Jiongeze ndo imetoka hio!1. Ukiwa unaondoka ugenini wakakwambia mbona haraka, usiondoke kesho usubiri kesho kutwa n.k huo ni mtego. Ondoka, hapo wanajikosha tu.
2. Unaaga kwenda kazini, mpenzi wako anasema usiende mpunzike kidogo, huo ni mtego, ukibaki unajipunguzia credits.
3. Unaongea na mtu af anasema nikipata vocha ntampigia af nitakupa majibu, au nikipata hela ntafanya x. Huo ni mtego.
4. Unabembelezwa kutoa siri, unaambiwa ' ukiniambia mimi simwambii mtu' huo ni mtego
5. Amekuacha kwa akaenda kwa mwingine, kisha anarudi kusema we ndo anakupenda, huo ni mtego, ni uongo
Mtego mwingine?
Sitaki wanawake wanaotaka ku-flex maisha mitandaoni kupitia migongo ya wanaume.Una tofauti gani na taleban?
Aliniambia nifanye hivyo eti kwasababu dokta kamwambia ni dawa ya tatizo lake la tumbo kuuma .Mwagia ndani ... 👀
Ulitisha mkuu 🤣, Sasa hivi ingekua imeingia txt pesa ya maziwa na dawa 100,000.Aliniambia nifanye hivyo eti kwasababu dokta kamwambia ni dawa ya tatizo lake la tumbo kuuma .
Nikasanuka na mi nikamwambia babu yangu alisema yeyote atakezaa nje ya ndoa amemuachia laana kwahiyo nikifanya hivyo naweza kuchanganyikiwa.
Alikua anamuwekea mitego veteran mwisho wa siku alijikuta amenasa kwenye mitego yake mwenyeweUlitisha mkuu 🤣, Sasa hivi ingekua imeingia txt pesa ya maziwa na dawa 100,000.
Hawa wanawake utawaweza, akiona uchumi unasoma hata mtoto anageuka kuwa mradi.Alikua anamuwekea mitego veteran mwisho wa siku alijikuta amenasa kwenye mitego yake mwenyewe