Vitu gani ambavyo ni mtego?

nimwambie au utamwambia mwenyewe?
 
Una tofauti gani na taleban?
 
Kuweni na subira serikali inalifanyia kazi! Jiongeze ndo imetoka hio!
 
Una tofauti gani na taleban?
Sitaki wanawake wanaotaka ku-flex maisha mitandaoni kupitia migongo ya wanaume.

Kalihangaika sana kunitafuta, mpaka kakatafuta namba ingine kakanitumia ujumbe mzito mpaka nikamuonea huruma na video juu! Kwamba yupo hospital kawekewa na drip eti preasure imemshuka tangu nimuache kimafia... madai yake alinipenda sana! Hapa nikajua binti alikuwa kashanipigia mahesabu Kumamae zake 😅👍🏾
 
Aliniambia nifanye hivyo eti kwasababu dokta kamwambia ni dawa ya tatizo lake la tumbo kuuma .

Nikasanuka na mi nikamwambia babu yangu alisema yeyote atakezaa nje ya ndoa amemuachia laana kwahiyo nikifanya hivyo naweza kuchanganyikiwa.
Ulitisha mkuu 🤣, Sasa hivi ingekua imeingia txt pesa ya maziwa na dawa 100,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…