Asante mkuuTafuta fundi wa magari akukagulie ila hakikisha una mlipa vizuri na kusiwepo uwezekano wa fundi na muuzaji kuonana wala kujuana
Asante KakaHapo mtafute fundi unayemuamini ....na mwisho wa yote hakikisha failii la gari liko salama ...usisahau kubadirisha kadi kwenye umiliki wako mambo yakiwa mukideeee
Asante KakaHapo mtafute fundi unayemuamini ....na mwisho wa yote hakikisha failii la gari liko salama ...usisahau kubadirisha kadi kwenye umiliki wako mambo yakiwa mukideeee