Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
We kuna usichokijuaa,.lol em hukooππKwahiyo mwenza hata auntie sipewi taarifa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We kuna usichokijuaa,.lol em hukoo[emoji126][emoji126]
Acha ujinga mwenza ujueeππsa unachekani??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefurahi tu mwenza.Acha ujinga mwenza ujuee[emoji38][emoji38]sa unachekani??
[emoji3][emoji3][emoji3] baba J kuna watoto hapa ujue
ku gegedaHabari za muda huu wadau, kama mada inavyosemeka. Ni kitu gani unapenda kufanya wakati mvua inanyesha. Binafsi huwa napenda sana kuwa ndani nimelala, usingizi huwa unakuwa smooth sana. Vipi mdau tupe experience yako.
kama nakuona π , hiyo nyumba isiwe na wapangaji wa kiume asee mvua ikinyesha.Kama nina nguo chafu uwa natoka nje kuzifua then naoga huko huko kwenye mvua huku nakinga na maji halafu nikimaliza naingia kusikiliza muziki mpaka nalala
ππππHawana bundle ya kusoma uzi bhana..
Achana nao..
πππ hapo nafanya hayo mambo nipo ndani kwetukama nakuona π , hiyo nyumba isiwe na wapangaji wa kiume asee mvua ikinyesha.
asiwepo yule mtoto wa mjomba au yule family friend wenuπππ hapo nafanya hayo mambo nipo ndani kwetu