TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 217
Kutokana na watu wengi wanatumia smartphone kwa matumizi yao ya kila siku.Matumizi hayo yanaweza kuwa kibiashara, kielimu, ajira n.k.
Katika ichi yetu kuna watimiaji wa smartphone kutoka kampuni mbalimbali, na simu izo huwa na vitu vina fanana na vingine kutofautiana. Bila kusahau Tanzania kuna zaidi ya asilimia 50%
watu wanaotumia smartphone. Tuambie wewe katika matumizi ya simu vitu gani muhimu zaidi kwenye simu mfano, RAM, Storage, Camera, Price, Design, etc.
Tuambie kupitia link hii: Customer buying intention