Mbona kuna watu wanafuata kitabu kinachohalalisha kuoa mtoto wa miaka kumi na moja?Yote inatokana na kutokuwa na imani ya kidini na kutokufata maamrisho mema. Jee, maamrisho mema ya namna ya kuishi mke na mume yanapatikana wapi? kwenye kitabu kinachofundisha hadi watoto kuzini na baba yao? Jibu unalo!
Daah!!..hii ni kweli,hasa mkishapata watoto.kuna wanawake wanabadilika sana baada ya kuingia kwenye ndoa na ndo hapo mwanaume anapoanza kunyata kuingia kwake.
Mkishapata watato concern ya mwanamke inahama kutoka kwako kwenda kwa watoto. Watoto ndo wanakuwa triple A (AAA), wewe unashushwa hadi AA+. Inabidi ufanye kazi ya ziada ili kulinda hadhi yako ya AAA.Daah!!..hii ni kweli,hasa mkishapata watoto.
Akirudi na harufu ya vile visabuni, unafikiri atafanyeje zaidi ya kunyata tu
Yote inatokana na kutokuwa na imani ya kidini na kutokufata maamrisho mema. Jee, maamrisho mema ya namna ya kuishi mke na mume yanapatikana wapi? kwenye kitabu kinachofundisha hadi watoto kuzini na baba yao? Jibu unalo!
hizi ndoa hizi mnalazimishwa?nyumbani kwako then unaingia kwa kunyemelea? si uhame brother?
ndo unyemelee? sasa unaenjoy nini hapo kwanini uishi kwa machale machale nyumbani kwako?Hatulazimishwi Bebii ila wengine tukishaingia hatuamini kwenye kuachana! Nihame niende wapi? Si bora nakabaki nanyemelea kuliko kuingia mitini?
ndo unyemelee? sasa unaenjoy nini hapo kwanini uishi kwa machale machale nyumbani kwako?
poa endelea kunyemelea sipati picha teh teh?Namaanisha hiviii, Kama ndoa imekuwa ndoana kiasi hicho na nimebakiza option ya kuendelea kuishi na wewe kwa kunyemelea bora kuliko pendekezo lako la mimi kuondoka kwangu....... La hasha kunyemelea imeshindikana utafungasha. La mimi kuondoka kwangu sahau.
I seeHuyo anayenyata na visingizio vingine kama kachoka lazima ametoka kufanya uzinzi nyumba ndogo hivyo anafanya makusudi kuharibu mazingira ya kuombwa tena ndani maana reading through posts most men hawana nguvu za kupiga mara mbili though unakuta huyo huyo ana nyumba ndogo tatu na anaziudumia once a week each siku zilizobaki anasaidiwa na wenzie .
poa endelea kunyemelea sipati picha teh teh?
Inaonekana una uzoefu wa kutosha.Akirudi na harufu ya vile visabuni, unafikiri atafanyeje zaidi ya kunyata tu
Wanawake wakorofi...wagomvi...walalamikaji.