Vitu gani vinavyokufanya umchukie mtu haraka??

Vitu gani vinavyokufanya umchukie mtu haraka??

Binafsi, sio kuchukia as such but sipendi intrusion katika private life. I am a very private person and nina limits sana who I engage with. I like to keep my circle very small. So I easily cut off ties with nosey people.

Sipendi hypocrisy/ Unafki.😡😡I hate it with a passion. Why mtu uwe na sura mbili? Sipendi maneno neno. Ishu za kike yaani kutoa maneno hapa, kuyapika kupeleka pale, ku discuss watu.

Napenda watu straight. I like people wanaojielewa. Good natured people who love life. Who keep promises, who stay positive.

Wanaowadharau wanawake kutwa kuwasema.Wasiojua thamani ya mwanamke.
Na ambao humu wanatumiaga usemi wa 'kuwatumia 'wanawake. *****.
Mkuu ungechagua lugha moja ya kueleweka ukaandika hii ni sifa moja wapo ambayo naichukia.
 
1. Tabia ya kuropoka ropoka na kuongea hovyo

2. Unakuta kwenye maongezi anataka kutawala yeye halafu ni kujisifia tuu, mimi nina hiki, mara mimi ni mwema, mara nimejenga nyumba mbili kumbe ni kama choo

3. Simu inaita katikati ya watu wana mazungumzo yao linaipokea hapo hapo linaanza kuongea tena kwa sauti mambo ambayo yanamhusu yeye tuu na ni kero kwa wengine kusikia halichepuki kwenda kusikilizia mbali bali linabaki hapo hapo linaongea kwa kupayuka huku linacheka

4. Simu inaita limeweka mlio mkubwa wa kero kuipokea tuu linachukua dakika tano linaingalia tuu ule mlio unaendelea kukera

5. Limekutana na mtu mara ya kwanza hata halijamsoma hibi zake linaanza kubwabwaja tuu mara muziki mara nini bila kuelewa kwamba linaweza kuwa linam bore mwezake

6. Limtu la kulalamika lenye gubu kitu kidogo litaonea wee litapika kelele!!! mko hotelini meagiza chakula lenyewe labda halijapendezwa na chakula hicho ila wengine poa basi litapiga kelele wee mpaka!!! au umepanda daladala ukalikanyaga au kuligusa kwa bahati mbaya litaonea njia nzima hata ukiliomba msamaha wapi nawapi
Nakazia
 
Back
Top Bottom