FINANCIAL MARKET
New Member
- Apr 15, 2024
- 2
- 11
[.MUHIMU.]...Vitu HATARISHI Vyakuepukana Navyo na Kuachana Navyo Kabisa Kabla Hata MWAKA 2024 Haujaisha....
1.Kutumia Muda mwingi Sana Kwenye Social Media
.
Kwenye mitandao, wewe ni mwandaa maudhui au mlaji?
.
Zaidi ya 90% ni walaji.
.
Unapoteza muda wako kuangalia maisha ya wengine.
.
Unakutana na mambo mengi ya kukubrain-wash.
.
Unalishwa propaganda na fake news.
.
Unaenjoy huku ukipoteza muda wako.
.
2.Nyeto.
.
Nyeto ni miongoni tabia chafu sana kwa mwanaume.
.
Nyeto inakwangua na kumaliza uanaume wako.
.
Utaathirika kisaikolojia.
.
Utakosa nguvu za kiume.
.
Utashindwa kuhimili tendo.
.
Kukosa kujiamini.
.
Utawagopa mademu.Jikomboe. Kuwa mwanaume.
.
Acha nyeto kwa kuwa busy, jifunze skill mpya, acha kuwa idle. Jitumikishe kwa kuwa positive.
.
3.Porn
.
Picha zautupu zinakufanya uendelee na nyeto.
.
Picha hizi zinakufanya uzitegemee kupata stimu.
.
Utakuwa na urahibu unaosumbua akili yako.
.
Mpaka uone ndo akili ishituke.
.
Porn makes you slave.
.
Jipende.
.
Acha kuangalia picha mbaya.
.
Unfollow watu wote nudes and content chafu.
.
4. Betting
.
Betting ni utumwa.
.
Kulala ukiamini unaweza kuweka jero ikakutajirisha,
.
Ni tabia ya hatari na ya kufedhehesha sana.
.
Utakuwa mvivu.
.
Imagine akili yako inaamini utatajirika kwa bahati nasibu.
.
Inakufanya kushindwa kupambana na kubaki kubet kila siku.
Acha betting.
.
Fanya kazi.
.
Mwanaume anakula kwa jasho.
.
Sio michezo ya kitoto hiyo ya kudhani unaweza kulala maskini na ukaamka tajiri.
.
5.Junk food
.
Chips zinakufanya dhaifu.
.
Mikate inakufanya unaumwa.
.
Kuku wa kisasa watakudhuru.
.
Mabaga, na vingine vya ngano vinakufanya kuwa na mwili dhaifu.
.
Mwili dhaifu ni rahisi kuandamwa na magonjwa.
.
Kula kama mwanaume.
.
Kula nyama na samaki.
.
Kula matunda na mbogamboga.
.
5 .Pombe
.
Pombe imeua ndoto za wengi.
.
Sio mbaya kunywa kwa kiasi.
.
Watu wanakunywa na kujisahau.
.
Wanashindwa kufanya kazi.
.
Wanashindwa kuwekeza na kufanya mambo ya msingi.
.
Punguza na acha kabisa pombe.
.
Wengi imewafanya masikini.
.
6 . Soda na energy drinks
.
Watu wanakuwnywa energy drinks badala ya maji.
.
Boda na watu wa kazi ngumu wanaongoza kwa energy drinks.
.
Sukari inakufanya ule mara kwa mara.
.
Sukari itakufanya uugue magonjwa mengi.
.
Sukari inakufanya ujinenepee na kuota kitambi.
.
Jikomboe.
.
Kataa sukari.
.
Kula matunda halisi.
.
Kunywa maji safi ya kutosha.
.
Jeshi la Mtu mmoja
1.Kutumia Muda mwingi Sana Kwenye Social Media
.
Kwenye mitandao, wewe ni mwandaa maudhui au mlaji?
.
Zaidi ya 90% ni walaji.
.
Unapoteza muda wako kuangalia maisha ya wengine.
.
Unakutana na mambo mengi ya kukubrain-wash.
.
Unalishwa propaganda na fake news.
.
Unaenjoy huku ukipoteza muda wako.
.
2.Nyeto.
.
Nyeto ni miongoni tabia chafu sana kwa mwanaume.
.
Nyeto inakwangua na kumaliza uanaume wako.
.
Utaathirika kisaikolojia.
.
Utakosa nguvu za kiume.
.
Utashindwa kuhimili tendo.
.
Kukosa kujiamini.
.
Utawagopa mademu.Jikomboe. Kuwa mwanaume.
.
Acha nyeto kwa kuwa busy, jifunze skill mpya, acha kuwa idle. Jitumikishe kwa kuwa positive.
.
3.Porn
.
Picha zautupu zinakufanya uendelee na nyeto.
.
Picha hizi zinakufanya uzitegemee kupata stimu.
.
Utakuwa na urahibu unaosumbua akili yako.
.
Mpaka uone ndo akili ishituke.
.
Porn makes you slave.
.
Jipende.
.
Acha kuangalia picha mbaya.
.
Unfollow watu wote nudes and content chafu.
.
4. Betting
.
Betting ni utumwa.
.
Kulala ukiamini unaweza kuweka jero ikakutajirisha,
.
Ni tabia ya hatari na ya kufedhehesha sana.
.
Utakuwa mvivu.
.
Imagine akili yako inaamini utatajirika kwa bahati nasibu.
.
Inakufanya kushindwa kupambana na kubaki kubet kila siku.
Acha betting.
.
Fanya kazi.
.
Mwanaume anakula kwa jasho.
.
Sio michezo ya kitoto hiyo ya kudhani unaweza kulala maskini na ukaamka tajiri.
.
5.Junk food
.
Chips zinakufanya dhaifu.
.
Mikate inakufanya unaumwa.
.
Kuku wa kisasa watakudhuru.
.
Mabaga, na vingine vya ngano vinakufanya kuwa na mwili dhaifu.
.
Mwili dhaifu ni rahisi kuandamwa na magonjwa.
.
Kula kama mwanaume.
.
Kula nyama na samaki.
.
Kula matunda na mbogamboga.
.
5 .Pombe
.
Pombe imeua ndoto za wengi.
.
Sio mbaya kunywa kwa kiasi.
.
Watu wanakunywa na kujisahau.
.
Wanashindwa kufanya kazi.
.
Wanashindwa kuwekeza na kufanya mambo ya msingi.
.
Punguza na acha kabisa pombe.
.
Wengi imewafanya masikini.
.
6 . Soda na energy drinks
.
Watu wanakuwnywa energy drinks badala ya maji.
.
Boda na watu wa kazi ngumu wanaongoza kwa energy drinks.
.
Sukari inakufanya ule mara kwa mara.
.
Sukari itakufanya uugue magonjwa mengi.
.
Sukari inakufanya ujinenepee na kuota kitambi.
.
Jikomboe.
.
Kataa sukari.
.
Kula matunda halisi.
.
Kunywa maji safi ya kutosha.
.
Jeshi la Mtu mmoja