Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Halafu hatujavumbua hata kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbili??? WTF?!Tumblr .. my favourite app
Alibaba ni before 2000Kama Kipi?
Alibaba ilianza kwa jina gani?Vilikuwepo kwa majina mengine.
Ila mambo yalikuwa yanaendaWakuu,
Mkeka Wa Vitu Ambavyo havikuwepo kabisa Duniani Mwaka 2003. Maisha Yako Spidi Sana.
Hichi Kizazi Cha Miaka ya 2000+ Ni Nyoko. Malezi Yao yanahitaji Moyo wa Chuma. Tupambane Hamna Namna. Ndio Maisha Yenyewe.
iPhone[emoji336]
iPad
Android
Alibaba
Apple App Store
Uber
Airbnb
Blockchain
Square
Stripe
Spotify
Dropbox
Snapchat
Kickstarter
Messenger
Quora
Tumblr
BuzzFeed
Hulu
Tinder
Nest
Fitbit
Oculus
Tencent
Kindle
Bitcoin
4G
TikTok
Ongezea Hapo Zaidi......
Ikumbukwe Hivi Vitu Havikuwepo Duniani Sio Tanzania Tuu. Nimefanya Utafiti Wangu.
Ila mambo yalikuwa yanaenda
Ova
Vyote hivyo vimeanzishwa na akili kubwa na kwasasa ni makampuni makubwa duniani ukiwa umechangia kukua kwao kimapatoWakuu,
Mkeka Wa Vitu Ambavyo havikuwepo kabisa Duniani Mwaka 2003. Maisha Yako Spidi Sana.
Hichi Kizazi Cha Miaka ya 2000+ Ni Nyoko. Malezi Yao yanahitaji Moyo wa Chuma. Tupambane Hamna Namna. Ndio Maisha Yenyewe.
iPhone[emoji336]
iPad
Android
Alibaba
Apple App Store
Uber
Airbnb
Blockchain
Square
Stripe
Spotify
Dropbox
Snapchat
Kickstarter
Messenger
Quora
Tumblr
BuzzFeed
Hulu
Tinder
Nest
Fitbit
Oculus
Tencent
Kindle
Bitcoin
4G
TikTok
Ongezea Hapo Zaidi......
Ikumbukwe Hivi Vitu Havikuwepo Duniani Sio Tanzania Tuu. Nimefanya Utafiti Wangu.
Nchi gani? Tz zilikuwepoBetting haikuwepo
Radio zilikuwa sijui 3 nchi nzima
Ikoje hiiI love you pinterest [emoji177][emoji182]
Huu ni mtandao kwa ajili ya picha tu ambazo zinakuwa generated na ideas kutokana na search history. So kama kwa mfano unapenda mapishi basi utaletewa picha za mapishi. Download ujioneeIkoje hii
Usipomtaja Jiwe hujisikii Kabisa?!!,Ngoja atakuita ili muwe wote mpige stori vizuri.Binadamu kuitwa JIWE
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kinana alikuwepo leo.
Huko nyuma hakuwai kuwepo😂
Noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Binadamu kuitwa JIWE
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰Acha tu Mungu tusaidie