Vitu kumi vya kufanya kama hujaajiriwa

Vitu kumi vya kufanya kama hujaajiriwa

Fursa zipo nyingi sana lakini pride hasa cc tunaojifanya tumefika vyuo vikuu ndo hatutak kabisa kufungua jicho la tatu, na wakat kwa hali halisi viatu vinabana.mm pia ni mjasiriamal wa kimataifa haikunichukua mda mrefu kuchangamkia fursa nlipomaliza masomo yangu na kwa hilo namshukuru sana mungu, hivyo kwa ushaur kwa waliopo dar tunaweza kuwasiliana kwa no 0762404670
 
Ajira zimekua ngumu kupatikana siku hizi bila kujali unamjua nani au nini ukijuacho.
Hivi vitu kumi vitakusaidia kukuongezea ubunifu na kukuweka katika hali nzuri katika soko hili la kutafuta ajira.

1. Andaa Ratiba.
Wengi huwa wana tabia ya kujiendekeza mara baada ya kukosa ajira. Ila pale utakapoandaa ratiba yako itakusaidia kuwa makini zaidi. wahi kuamka, jipange, pata muda wa kutafakari. Huwez jua unaweza pata hata bonge la wazo la biashara.

2.Tafuta ajira ya muda (Tempo)
Hii itasadia katika kutengeneza daraja kati yako na ajira mpya ya kuduma. Itakusaidia pia kuongeza ujuzi na uwezo wa kifedha mpaka pale utakapopata ajira ya kudumu.

3. Fanya kazi mtandaoni.
Kama wewe ni graphics designer, mchoraji, msanii, mwandishi au mwalimu. Upo katika nafasi nzuri ya kupata ajira mtandaon katika mitandao halali kama Freelancer, Guru na Elance. Hata ukianza kwa $5-$500 kwa mwezi si haba.

4. Jipange.
Angalia nini unachohitaji na usichohitaji ndani mwako na utafute namna ya kukitumia au kukitoa mbali ya uwepo wako kwa mpagilio mzuri.

5. Piga mazoezi.

6. Ongeza ujuzi wako.
kupata stadi mbalimbali hakuhitaji ulipie. unaweza ukajifunza zaidi kuhusu interviews na vitu mbalimbali kupitia elimu ya mtaa. Hii itakusaidia katika kutafuta kwako ajira.

7. Jitolee (volunteer)
Ukiwa unajitolea katika makampuni au taasisi mbalimbali unaongeza exposure yako katika tasnia hii.

8. Jitoe na jipende.
Hata kama huna hela unaweza ukatembea kidogo au kujisogeza kando ya bahari. Beach nyingi na tulivu unaweza pata hata ambazo hazina kiingilio. Hii itakusaidia kurelax na kupata muda kuuchangamsha ubongo n mwii.

9. Angalia kipi unachoweza kuuza.
Sisemi uuze vyote vilivyopo ndani. Ila angalia na umuhimu wa hicho kitu na thamani yake. kwa walio majuu mitandao kama Amazon na ebay itawarahisishia kazi yao. Ila hata kwa bongo siku hizi kuna mitandao kama hii pia.

10. Soma kozi yoyote.
Jaribu kupiga kozi mbalimbali kupitia taasisi zinazojulikana ili kupata cheti na kuipa mwanga mpya resume yako. Hii inaweza kuwa na gharama kubwa kama hivyo unaweza kusoma mtandaon kupitia taasisi zinazotoa elimu ya bure. Jaribu kuchek hapa 25 Killer Sites For Free Online Education

Natumaini vidokezo hivi vinaweza kukusaidia.

kwa msaada wa mtandao 24tz

Kwa hiyo website una soma free na chet jee wanakupa pia
 
Fursa zipo nyingi sana lakini pride hasa cc tunaojifanya tumefika vyuo vikuu ndo hatutak kabisa kufungua jicho la tatu, na wakat kwa hali halisi viatu vinabana.mm pia ni mjasiriamal wa kimataifa haikunichukua mda mrefu kuchangamkia fursa nlipomaliza masomo yangu na kwa hilo namshukuru sana mungu, hivyo kwa ushaur kwa waliopo dar tunaweza kuwasiliana kwa no 0762404670

A sound of GNLD/ Forever Living whispering from a far.......
 
Ajira zimekua ngumu kupatikana siku hizi bila kujali unamjua nani au nini ukijuacho.
Hivi vitu kumi vitakusaidia kukuongezea ubunifu na kukuweka katika hali nzuri katika soko hili la kutafuta ajira.

1. Andaa Ratiba.
Wengi huwa wana tabia ya kujiendekeza mara baada ya kukosa ajira. Ila pale utakapoandaa ratiba yako itakusaidia kuwa makini zaidi. wahi kuamka, jipange, pata muda wa kutafakari. Huwez jua unaweza pata hata bonge la wazo la biashara.

2.Tafuta ajira ya muda (Tempo)
Hii itasadia katika kutengeneza daraja kati yako na ajira mpya ya kuduma. Itakusaidia pia kuongeza ujuzi na uwezo wa kifedha mpaka pale utakapopata ajira ya kudumu.

3. Fanya kazi mtandaoni.
Kama wewe ni graphics designer, mchoraji, msanii, mwandishi au mwalimu. Upo katika nafasi nzuri ya kupata ajira mtandaon katika mitandao halali kama Freelancer, Guru na Elance. Hata ukianza kwa $5-$500 kwa mwezi si haba.

4. Jipange.
Angalia nini unachohitaji na usichohitaji ndani mwako na utafute namna ya kukitumia au kukitoa mbali ya uwepo wako kwa mpagilio mzuri.

5. Piga mazoezi.

6. Ongeza ujuzi wako.
kupata stadi mbalimbali hakuhitaji ulipie. unaweza ukajifunza zaidi kuhusu interviews na vitu mbalimbali kupitia elimu ya mtaa. Hii itakusaidia katika kutafuta kwako ajira.

7. Jitolee (volunteer)
Ukiwa unajitolea katika makampuni au taasisi mbalimbali unaongeza exposure yako katika tasnia hii.

8. Jitoe na jipende.
Hata kama huna hela unaweza ukatembea kidogo au kujisogeza kando ya bahari. Beach nyingi na tulivu unaweza pata hata ambazo hazina kiingilio. Hii itakusaidia kurelax na kupata muda kuuchangamsha ubongo n mwii.

9. Angalia kipi unachoweza kuuza.
Sisemi uuze vyote vilivyopo ndani. Ila angalia na umuhimu wa hicho kitu na thamani yake. kwa walio majuu mitandao kama Amazon na ebay itawarahisishia kazi yao. Ila hata kwa bongo siku hizi kuna mitandao kama hii pia.

10. Soma kozi yoyote.
Jaribu kupiga kozi mbalimbali kupitia taasisi zinazojulikana ili kupata cheti na kuipa mwanga mpya resume yako. Hii inaweza kuwa na gharama kubwa kama hivyo unaweza kusoma mtandaon kupitia taasisi zinazotoa elimu ya bure. Jaribu kuchek hapa 25 Killer Sites For Free Online Education

Natumaini vidokezo hivi vinaweza kukusaidia.

kwa msaada wa mtandao 24tz

Thanks mkuu
 
i salute you Verdy CB this is a very useful post of the day
 
Last edited by a moderator:
Yote tisa kumi ni kujenga mazingira ya kujiajiri mwenyewe na kuachana na mawazo ya kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom